Naweza kula mkate usiku endapo utakuwa na vipako vyake kama siagi au n.k. pia usindikizwe na yai au soseji, tunda kama ndizi mbivu na chai nzito.
Kula mkate mkavu na chai ya maji na sukari usiku sifiki saa nne.
Kwa maelezo haya umeitendea haki mikoa hii. Ni mikoa yenye watu wanaojua kutumia akili nyingi ili kupambana na mazingira asili ili kupata mahitaji, ukilinganisha na mikoa ya kijani ya mleta uzi ambayo pengine wakazi wake wanashindwa kupambana na mazingira asili ili kujipatia mahitaji mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.