Uko sahihi mkuu, vyote hivyo nimefikiria...hata mimi sipo mnyonge kiivyo ila kama mjuavyo maisha ni levels, daraja halilopo yeye lipo juu sana kiuweli angekuwa mwanamke mwingine wakawaida wala isingekuwa tabu...ninachokiona hapo the only solution ni kujiimarisha kiuchumi....nothing else
Sipo nae ilikutafuta unafuu wa maisha, ni vile haunijui....sijawahi pata chochote kutoka kwake wala sifikirii zaidi nawaza kuhusu mtoto kulea mtoto asie damu yako inahitaji moyo sio rahisi kama unavyofikiria
Habari za muda huu wana Jf. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwanye hoja mahususi.
Mapenzi ni kitu kimoja cha ajabu sana. Ni mwaka wa pili sasa, tangu nikutane na mwanamke nahisi ndio ninae mpenda zaidi tangu niyafahamu mapenzi.
Mwanzo nilihisi ni tamaa tu, maana ni mzuri sana...
Mimi niliwahi kwenda barabarani usiku majira ya saa 8 hv nikakuta kuna mzee homeless amelala nje ya fremu ya duka, nikamuomba tuzungumze....akakubali nikaamua kumshirikisha matatizo yangu mtu asiye nifahamu....niliongea vyote bila kuficha chochote, huwezi amini yule mzee alinipa ushauri mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.