Kwa uandishi wako huu...kuhusu taratibu za kiganga inaonesha kabisa wewe ni mjuzi wa haya mambo, nahisi kabisa inawezekana hili ni tangazo la biashara,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongera kwa uandishi mzur, sisi wengine Yesu anatosha nothing more
Magufuli hawafahamu vizuri marekani. ..kwanza akae akijua mambo haya sio siri yako wazi kabisa. .na mataifa makubwa kama haya hayategemei mabalozi peke yake wako CIA wa kimarekani karibu nchi zote dunian. .dan kwa anavyokataa anadhihirisha wazi hana nia njema na hili taifa, kwanza binafsi yangu...
Kuna jambo linaendelea kwenye mwili wangu linanitatiza kidogo. Kuna kauvimbe mfano wa jibu kwenye sehemu ya haja kubwa (puru) na napata maumivu kiasi wakati wa kwenda haja kubwa. Hali hii imekuwa ikija na kupotea ila awamu hii naona kimekuwa kikubwa zaidi na maumivu kuongezeka.
Katika utafiti...
Ninachojua mm ktk msingi ya dini ya kiislamu...umejengwa na vitabu vinne ambavyo ni. .Injili, Torati, Zabur na Qur'an...why kwenye kuitangaza dini yao wameengea sana kwenye hiki kitabu kimoja? Qur'an kuna siri gan hapo? Sijauliza kwa ubaya nahitaj kujua
Mkuu umenifurahisha sana kwenye introduction, unalazimisha tukuone mtu fulan hv uko nondo wakat hata kingereza chenyewe tu. .ni cha kuunga unga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anyways copy and paste zako tumezipata. .umechagua somo zuri la kutushirikisha..tu mekusoma
Umefanya jambo la kishetani halafu unajisifia na kujiona mjanja. .hujui ww ndie ulie changia kuanguka kwake kimasomo. .watu km nyie jela ndio sehemu panapo wafaa
Faida nyingine nyumba inayofuga nguruwe wachawi na majini mwiko. ..wanapitaga mbali napo. ..hivyo nguruwe ni mlinzi mzuri sana dhidi ya wavamizi wa kiroho