Recent content by villgaxy

  1. villgaxy

    Nilichofanya leo Mlimani City

    baada ya kuona hii na nikiwaza kwamba wiki ijayo kuna mahafali ya chuo cha udsm yatakayopelekea kuwa na watu wengi sio siri moyo unashtuka na kuingiwa na kahofu fulani...
  2. villgaxy

    Hivi ni sifa kwa mwanaume kutembea na wanawake wengi?

    Aaaah kutangaza mpaka idadi huo tuite ni ushamba tu...
  3. villgaxy

    Usiku mwema au good night kwa mwanaume mwenzio

    ni vizuri tu hapo sina tatizo
  4. villgaxy

    Usiku mwema au good night kwa mwanaume mwenzio

    nilijibu kiume kwa kumaanisha jinsia...ILA NI MWANAUME
  5. villgaxy

    Usiku mwema au good night kwa mwanaume mwenzio

    kila mtu alichokesema kwa nafasi yake yuko sawa na kuna kitu nimeongeza uelewa zaidi...ila ifahamike kitu kimoja sina tatizo na salamu za kawaida za kila siku na usiku mwema ya wazazi kwa mfano au ile ambayo hufuata baada ya maongezi fulani kwa jamaa na marafiki.....
  6. villgaxy

    Usiku mwema au good night kwa mwanaume mwenzio

    wa kiume mkuu.. Commanche
  7. villgaxy

    Usiku mwema au good night kwa mwanaume mwenzio

    Habarini wana JF Ingawaje hii ni post yangu ya kwanza ila naomba kuwasilisha. Kuna hii tabia ya mwanaume kumtumia mwanaume mwenzie ujumbe wenye maneno "usiku mwema" au goodnight" Sasa najiuliza kwanza mwanaume kweli unaanzaje kumtumia mwanaume mwenzako kitu cha namna iyo. Mimi huwa...
  8. villgaxy

    Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

    hapa hakuna cha inferiority,kukimbia majukumu au kuwaogopa wanawake...kilichosemwa ni ukweli mtupu na kipo kwa asilimia kubwa kwenye jamii zetu..INGAWAJE SIO WOTE ILA KWA KIASI KIKUBWA WANAWAKE WASOMI INAPOKUJA KWENYE SUALA LA MAISHA YA NDOA NI TATIZO..TUKATAE TUKUBALI HIYO NDO HALI HALISI
Back
Top Bottom