Huo mfano wako hauna mantiki kabisa kwenye hili swala tafuta mfano mwingine.Suala la malori linagusa maisha ya watu wengi moja kwa moja tofauti na hiyo treni.
Mnafahamu hayo malori yanatoa ajira kwa watu wengi kiasi gani??kuanzia madereva,mafundi,wauza mafuta,matairi,spare parts,mama ntilie,waosha magari na wengineo.Mizigo yote ikibebwa na treni hiyo workforce yote mna sehemu ya kuipeleka???
Somo la udereva wa kujihami linahitajika sana kwa madereva wetu ili kupunguza au kumaliza kabisa suala la ajali, tunafahamu boda boda ni tatizo sasa ww dereva kila unapoona boda boda inabidi uchukue tahadhari punguza speed ya gari yako ili hata akikuchomekea uweze kusimama bila ya kusababisha...
Huwa nikipita pale stand ya mbezi ya kimara nikiwaona wale wafanyabishara pembeni ya barabara huwa najiuliza gari likifeli brake itakuwa janga kubwa sana
Mwl RCT ubarikiwe sana,jana nilipokea package yangu ikiwa salama bila usumbufu wowote. Wakati nakutumia pesa sikuwa na uhakika kama jambo nalofanya ni sahihi au coz kumtumia mtu pesa ambaye hujawahi hata kumuona ni jambo zito haswa ukizingatia zama hizi za Uncle Magu hela ilivyo ngumu bt thanks...
Kuhusu mafuta njia kuu mbili zinatumika kwanza unaunganisha GPS tracking device na zile wire zinazoleta signal kutoka kwenye tank ya mafuta na njia ya pili unatoboa tank ya mafuta kwa juu then kuna kifaa kama bomba kitaalamu kinaitwa fuel probe unakidumbikiza huko kazi yake inakuwa kusoma kiasi...
Kwanza kabla ya kununua GPS tracking devices lazima ufahamu unataka kufunga kwenye gari kwa sababu gani, unataka kufanya tracking peke yake au na kazi zingine za ziada kama kumonitor mafuta,kufahamu kama dereva kafunga mkanda au kuwa na uwezo wa kusikiliza mazumgumzo ya kwenye gari lako.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.