Recent content by Village in

  1. V

    JamiiForums Tanzania Big Nyash Vs Big Brain

    Kundi la Big brain. Nyasi braaa
  2. V

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

    Ni kweli kuna mijitu inatumika kutuharibia mpira wetu. Wanamuogopa mtu mpaka inakera. Ile milioni 100 timu yangu kutoa kwa CCM iliumiza sana mpira wetu
  3. V

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na CHADEMA hamtaweza kukwepa liability kwa uchochezi na uhaini wa October 29

    Hapo hapo ukute kuna mtu anakupenda kakuzalisha na watoto kabisa?
  4. V

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Aaah...! Leo hii? Nilisharusha kitambo imewapata muda tu
  5. V

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mimi mtu akianza kusema bikra sijui kuoa bikra ndio umemaliza maisha namuonaga amepungukiwa kichwani. Maisha ni process. Hata awe bilionea huwezi kumdhibiti mtu kwamba asiwezi kutoka eti ksbb umembikiri ndio iwe tiket ya kumuona atadumu hivyo kwako tu bila kuhitaji mtu mwingine wakati mwingine...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Ndio bikra wengi lazima awaze kuonja kingine na hawa vijana hawajui. Vinginevyo huyo kijana aamue kuwa masikini maisha yake yote asifanye kazi yoyote abaki kuchunga kidude cha mkewe bikra asipitiwe na wahuni
  7. V

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Yaani mpaka unashupaza mishipa ya shingo eti nataka nikuambie. Yaani kama unachoongea kina maana. YAANI KAMA NDIO FIKRA ZA VIJANA HIZI. KUWA NA UNAFUU WA MAISHA WEWE UTAKUSIKIA TU RADIONI. WEWE UTAKUFA MASIKINI. KAZI YAKO NI KUCHUNGA KIDUDE CHA MKEO.
  8. V

    JamiiForums Tanzania TEMBO WASUMBUA ISHAKUA KERO HUKU

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. V

    JamiiForums Tanzania Ccm washawahi jiuliza swali hili?

    Mazoea. Kwamba wabongo siku zote ni waoga.
  10. V

    JamiiForums Tanzania Watu wanafikiria hivi lakni ukweli ni huu

    Watu siku hizi wanajiachiia tofauti na zamani. Mpaka wakinga siku wamejanjaruka wanajiachia viwanja hatari. Mpaka mademu wanabandua. Wamebaki Wasukuma,wamasai na wamang'ati tu kuamka. Hao utakuta ana utajiri wa ng'ombe elfu 2 mtu mmoja lakini ni masikini sana wa nafsi. Ukimuelimisha utajiri...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Nawaona bado sana kifkra wanaoona kufa kupo tu utakufa tu. Hata ule nini utakufa tu. SWALI NI MOJA TU KWAO. UTAKUFA KTK MAZINGIRA GANI?. TUTAKUFA WOTE NDIO LAKINI WEWE UNAEBUGIA OVYO OVYO BILA UTARATIBU UTAKUFA KWA KUUMWAJE?. Wengi wao wanaokula nyama sana wanakufa kwa KISUKARI na BP...
  12. V

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Yes...! Tunamtaka anaeamrisha utekaji,tunamtaka kiongozi wa utekaji na wanaohusika nao wawajibishwe. Tunamtaka alieamrisha mauaji ya tar 29 na askari waliohusika kupiga risasi raia. Wawajibishwe. HATUTAKI TUME ZA JANJA JANJA KUTAFUTA SIJUI ALIETOA HELA. TUNATAKA ALIEAMRISHA MAUAJI NA WAUAJI...
Back
Top Bottom