Ni kweli kuna mijitu inatumika kutuharibia mpira wetu. Wanamuogopa mtu mpaka inakera. Ile milioni 100 timu yangu kutoa kwa CCM iliumiza sana mpira wetu
Mimi mtu akianza kusema bikra sijui kuoa bikra ndio umemaliza maisha namuonaga amepungukiwa kichwani.
Maisha ni process. Hata awe bilionea huwezi kumdhibiti mtu kwamba asiwezi kutoka eti ksbb umembikiri ndio iwe tiket ya kumuona atadumu hivyo kwako tu bila kuhitaji mtu mwingine wakati mwingine...
Ndio bikra wengi lazima awaze kuonja kingine na hawa vijana hawajui. Vinginevyo huyo kijana aamue kuwa masikini maisha yake yote asifanye kazi yoyote abaki kuchunga kidude cha mkewe bikra asipitiwe na wahuni
Yaani mpaka unashupaza mishipa ya shingo eti nataka nikuambie. Yaani kama unachoongea kina maana.
YAANI KAMA NDIO FIKRA ZA VIJANA HIZI. KUWA NA UNAFUU WA MAISHA WEWE UTAKUSIKIA TU RADIONI. WEWE UTAKUFA MASIKINI. KAZI YAKO NI KUCHUNGA KIDUDE CHA MKEO.
Watu siku hizi wanajiachiia tofauti na zamani. Mpaka wakinga siku wamejanjaruka wanajiachia viwanja hatari. Mpaka mademu wanabandua. Wamebaki Wasukuma,wamasai na wamang'ati tu kuamka. Hao utakuta ana utajiri wa ng'ombe elfu 2 mtu mmoja lakini ni masikini sana wa nafsi. Ukimuelimisha utajiri...
Nawaona bado sana kifkra wanaoona kufa kupo tu utakufa tu. Hata ule nini utakufa tu. SWALI NI MOJA TU KWAO. UTAKUFA KTK MAZINGIRA GANI?. TUTAKUFA WOTE NDIO LAKINI WEWE UNAEBUGIA OVYO OVYO BILA UTARATIBU UTAKUFA KWA KUUMWAJE?.
Wengi wao wanaokula nyama sana wanakufa kwa KISUKARI na BP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.