Recent content by Village in

  1. V

    JamiiForums Tanzania Bila kushusha gharama za UNIT na kuzuiya ukatikaji wa mara kwa mara wa umeme

    Hii kuuza amgekuwepo Magu tu ndio alikuwa anaenda huko. Kama unakumbuka kipindi chake tulifikia hatua umeme ulikuwa haukatwi kabisa. Ujenzi wa hayo mabwawa yeye ndie alieanza ujenzi. Pia enzi zake gharama za kuingiza umeme ilikuwa 37000 tu. Wakaja hawa wanasema alikosea haiwezekani gharama ya...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Je, mwanadamu anayo tena uhuru wa kuchagua (free will) au kila kitu kimepangwa?

    Ndio kama hivyo kila kitu kimepangwa nje ya mahakama. Majaji wanajaji wa hapa wanajaji kwa kufuata maelekezo
  3. V

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Naliona ni Jambo la hatari sana. Au dume+dume tayari mmeshali- summarise?
  4. V

    JamiiForums Tanzania Leo ndio leo! Je, Tundu Lissu ana kesi ya kujibu? Niliwahi shuhudia Miraji akimkwida Kikwete!

    Serikali ikumbuke huyu jamaa harakati iko damuni, na hajawahi kushindwa kwenye vita vyake vyote alivyowahi kupigana navyo. Alishinda mpaka kifo baada ya kupigwa risasi nyingi pia
  5. V

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Mdogo mdogo tunaenda kuungana na wazungu. Hatari sana
  6. V

    JamiiForums Tanzania Aina ya mwanamke ambaye kila mwanaume anatamani kumpata

    Bahati mbaya wanawake wengi wazuri wa sura na wenye nyash tabia zao ndio zinawaangusha
  7. V

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Sana mwamba
  8. V

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Umetisha mkali
  9. V

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Bab kubwaa
  10. V

    JamiiForums Tanzania Operesheni maalum za kijeshi

    Babu kubwaa
  11. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini ligi ya Nigeria siyo bora?

    Kwa bara la Africa na baadhi ya nchi huko mbele nafikiri WaNigeria ndio taifa lenye wananchi wake waliofanikiwa zaidi kwenye maisha. Wananchi wa Nigeria mmoja mmoja wana uchumi mzuri sana. Kwa hiyo WaNigeria wengi muda mwingi wamefocus kwenye kusaka utajiri iwe kwa njia yoyote ile lazima...
  12. V

    JamiiForums Tanzania Maisha yana surprises nyingi sana

    Hakuna kitu kama hicho. HIYO INATOKEA NI KWA TANZANIA TU. MTU UNAJITUMA SANA KTK KAZI ZAKO IWE KILIMO AU BIASHARA ZAKO. LAKINI UNACHOAMBULIA NI HAMNA KITU UKILINGANISHA NA NGUVU ULIYOTUMIA. HAYO NDIO MATOKEO YA SIASA MBOVU ZA CCM. Mfano unafanya biashara kwa kutumia mtaji wako. Lakini...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Big Nyash Vs Big Brain

    Kundi la Big brain. Nyasi braaa
  14. V

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

    Ni kweli kuna mijitu inatumika kutuharibia mpira wetu. Wanamuogopa mtu mpaka inakera. Ile milioni 100 timu yangu kutoa kwa CCM iliumiza sana mpira wetu
Back
Top Bottom