Ni sahihi kabisa. Wengi tuna-fail kwa kung'ang'ania sehemu moja. Na wengi hawapigi hatua ksbb ya sehemu moja kuwalemaza. Japo inakuwaga ngumu sana kufanikiwa kuchomoka kutoka hapo mahala na kushft.
Pole yako kwa kudhani Marekani wamesallenda hii vita. Huoni iran ilivyochapika imefika mwisho. Ukiona hivyo ujue Marekani tayari kashamaliza vita. Tayari ameondoa wote aliodhani ni tatizo. Hivi yuko kutengeneza uongozi mpya kwa kukubariana nao.
Pia Marekani anaweza kuwa na akiba ya mafuta hata...
Kama ni hivyo si aendelee kumgonga tu. Au tumuulize tu mshikaji unajisikiaje unapofanya na huyu jini na mtu wa kawaida?. Unakuta huko kwa jini ni kutamu zaidi
Ukiwa na uwezo ni kuwa na familia unayoihudumia. Furaha ni kuona wanaokuzunguka wana furaha. Utaona umuhimu wao ukizeeka.
Wewe hapo una tatizo,unaweza usilione kwa sasa. Kujua kwako kupika au kufanya chochote sio shida. Shida utaiona baadae.
Ya nini yote hayo?. Mtu wa kuvunja mpaka kibubu ya nini simu ya gharama hivyo? Nataka nikusanue matumizi ya simu ni yale yale hata ulinunua simu ya laki 7 nzuri.
Sasa basi nunua tu simu ya kawaida lakini nzuri kweli kwa picha na mambo mengine yote sawa na hiyo ya milioni 4. Nunua SAMSUNG S 21...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.