Recent content by Village in

  1. V

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Kwa mara ya kwanza angalau umenyoosha kwenye ukweli
  2. V

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Huko hatwazii tena tuishapigwaga kitambo
  3. V

    Mazingira unayoishi yanaweza kukupa au kukunyima fursa ya kuendelea

    Ni sahihi kabisa. Wengi tuna-fail kwa kung'ang'ania sehemu moja. Na wengi hawapigi hatua ksbb ya sehemu moja kuwalemaza. Japo inakuwaga ngumu sana kufanikiwa kuchomoka kutoka hapo mahala na kushft.
  4. V

    Marekani inafikiria kuipunguzia vikwazo vya mafuta Iran

    Pole yako kwa kudhani Marekani wamesallenda hii vita. Huoni iran ilivyochapika imefika mwisho. Ukiona hivyo ujue Marekani tayari kashamaliza vita. Tayari ameondoa wote aliodhani ni tatizo. Hivi yuko kutengeneza uongozi mpya kwa kukubariana nao. Pia Marekani anaweza kuwa na akiba ya mafuta hata...
  5. V

    Nimefurahishwa na maamuzi ya CAF kumvua ubingwa Senegal

    Umebaki peke yako. Lazima utakuwa sehemu ya CCM. Tabia zilizofanywa na CAF ndio dizain ya ccm
  6. V

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Sorry mkuu ..! Utani tu mwamba. (Lakini min me utazuia kweli mamanzi wasikuote mkali?)
  7. V

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Kama ni hivyo haina haja huyu maimuna amwachie mshikaji
  8. V

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Huyu mbona alishasemaga anakuota wewe min -me
  9. V

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Kama ni hivyo si aendelee kumgonga tu. Au tumuulize tu mshikaji unajisikiaje unapofanya na huyu jini na mtu wa kawaida?. Unakuta huko kwa jini ni kutamu zaidi
  10. V

    Bora kuwa single!

    Ukiwa na uwezo ni kuwa na familia unayoihudumia. Furaha ni kuona wanaokuzunguka wana furaha. Utaona umuhimu wao ukizeeka. Wewe hapo una tatizo,unaweza usilione kwa sasa. Kujua kwako kupika au kufanya chochote sio shida. Shida utaiona baadae.
  11. V

    Kati ya iPhone 17 pro max na Samsung Galaxy S26 Utra ninunue simu ipi ?

    Ya nini yote hayo?. Mtu wa kuvunja mpaka kibubu ya nini simu ya gharama hivyo? Nataka nikusanue matumizi ya simu ni yale yale hata ulinunua simu ya laki 7 nzuri. Sasa basi nunua tu simu ya kawaida lakini nzuri kweli kwa picha na mambo mengine yote sawa na hiyo ya milioni 4. Nunua SAMSUNG S 21...
  12. V

    Mbunge wa Israel asema waliokufa ni maelfu huko Israel

    uwo uwo ndio kidudu gani?
Back
Top Bottom