Ccm washawahi jiuliza swali hili?

Ccm washawahi jiuliza swali hili?

Hawa wana ccm washawahi kufikiria kwamba wizi wa kura na kuchezea uchaguzi kunaweza kuhatarisha usalama wa nchi?
Nini kinachowapa ccm kujiamini? Je ni back up ya mchina au ya mnani vile? Anyway .. serikali huanguka kwa uzembe wa watu wachache sana wabinafsi.
CCM hawana muda wa kujiuliza aina hii ya maswali.
Polisi sasa ni Policcm
Jwtz sasa ni Jeshi la Watawala Tz
Tiss ni chombo chao cha kuwafurahisha
BUNGE ni sehemu yao ya kutungia sheria za kuwachapia bakora wananzengo.
Mahakama ni rungu kwa wakosoaji.
Magereza zipo kwa ajili ya wakosoaji wanaofanya ugaidi wa maneno
 
Kama tume ya uchaguzi inachaguliwa na rais/raia
tunataka tume huru

fukcn shiiit!
 
CCM hawana muda wa kujiuliza aina hii ya maswali.
Polisi sasa ni Policcm
Jwtz sasa ni Jeshi la Watawala Tz
Tiss ni chombo chao cha kuwafurahisha
BUNGE ni sehemu yao ya kutungia sheria za kuwachapia bakora wananzengo.
Mahakama ni rungu kwa wakosoaji.
Magereza zipo kwa ajili ya wakosoaji wanaofanya ugaidi wa maneno
Mbaya sana asee
 
Back
Top Bottom