Ukifuatilia elimu ya wabunge kwa nchi hii utachanganyikiwa. Unaijua elimu ya ponjoro wa kinondoni ? Unaifahamu elimu ya mbunge alietukana ngedere wote?
Hii nchi kweli watu wanaifanya bora liende. Steve nyerere kweli akawaongoze watu?. Yaani mfano mtu na nyota zake anampigia saruti stiv nyerere kweli?. Daah...! Hizi siasa mtu unaweza kujikataa
Watakuambia tu pesa.
Kwa mimi linakuwa halina maana,bora wabaki nalo. Ksbb nilichokipoteza kikaharibu muendelezo wa mambo mengi sana.
Kuna wengi walichokipoteza kikawapelekea mpaka msongo wa mawazo,wengine kichwa kabisa,wengine Hadi kupoteza maisha. Hivyo kama maisha watavirudishaje?. Muda...
Hapa ndugu yangu hatujafikis huko. Ngoja tuendelee tu uoga wetu kwanza wasije wakakupoteza.
Kuna jamaa humu simuoni au sijui alibadiri I'd?. Lakini hata mwandiko wake tu humu siuoni. Sikumbuki vizuri ubin wake humu
Nikibahatika kupiga story na vijana hawa wa energy huwa nawaambia sana hivi KAMWE MSIJISUMBUE KUMSUMBUKIA KUMRIDHISHA WASICHANA HAWA WA SIKU HIZI,KWA KUMEZA VIAGRA AU VYOVYOTE. FANYA KWA WASTANI WAKO UNAPOFIKIA.
Maana hata ukifanya kwa nguvu au vingi hata kukaribia kuzimia. Pamoja na juhudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.