Mimi naona uchukue mikoba ya usajili wewe. Maana si kwa povu hili
. Binafsi sitakusamehe kwa kumfukuzisha kazi CEO wetu mahiri kabisa bidada Barbara. Sasa umeanza project ya kumkimbiza mo wakati huna uwezo wa kununua hata mchezaji mmoja wa ndondo.
Mbona hukumshauri kocha kuhusu kikosi kabla ya mechi? Baada ya matokeo ndio unajifanya mara ooh ingekuwa hivi au vile! Hakuna mjuvi wa mpira wa namna hiyo aisee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.