Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,391
- 3,373
Yanga MakundiYANGA BINGWA
Yanga MakundiYANGA BINGWA
Kwa hii post unaweza kupewa PhD ya heshima kabisa 🤣😂🤣Mmbebwa na nani? Mbona mnafuata mkumbo? Hao hao wanaosema simba inapewa penati leo wanashadadia penati walionyimwa hao ndugu zao...
Mwamba anataka haki wakati wahuni tunamkimbiza mwizi kimya kimyaWatu kama wewe huwezi kuwa rafiki yetu sisi wana ubaya ubwela...wewe bakia kwenye nguvu moja peke yake... 😆 😆 😆 😆
Shangaa na wewe...anatetea palipo na dhahma...maaana hao wa upande wa pili ni wameshajichukulia point 36 kwa timu zao plus magoli 50...hahha anataka kusemaje kwa mfano?? HahahahhMwamba anataka haki wakati wahuni tunamkimbiza mwizi kimya kimya
Ahahah 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hata ukinipa wewe peke yako inatoshaKwa hii post unaweza kupewa PhD ya heshima kabisa 🤣😂🤣
Yanga MakundiYANGA BINGWA
Sina... Ila natumia falsafa ya kichina inayotokana na msemo wao huu "Mimi siwezi kutaga yai, Lakini yai viza nalijua"Una cheti Cha ukocha daraja Gani?
Wewe si mtu wa mpira kabisa. Unadhani wachezaji ni maroboti? Acheni kukatisha watu tamaa. Tuletee kocha wako atakayefanya uyatakayo.Umejawa hofu ya kufungwa kiasi ni kama unazuia wachezaji kuchakarika.
Imani yako kwa Mohamed Hussein, Fabrice Ngoma inaigharimu Timu.
Kibu D ana maguvu Lakini achezi kitimu. Umeshindwa kumuelekeza kuwa akicheza kitimu Simba itafaidika zaidi?
Ahoua anajua kucheza mpira Lakini hachezi kimpira. Afunzwe kuwa kipaji chake kinatakiwa kiinufaishe Timu . Asicheze kama yupo mazoezi.
Kupoteza muda ni sehemu ya mbinu mojawapo ya kimpira. Lakini sasa kipa Moussa Camara anaitumia vibaya hadi anaua morali ya uchezaji kwa wenzake.
Timu haina Kasi inayotakiwa na ikifunga bao moja tu ndiyo uzingativu hupotea. Yaani Simba ikishinda bao Moja inaanza kujilinda badala ya kutafuta bao jingine.
Kapombe na Mohamed Hussein wafundishwe kurusha mipira Kwa wakati. Mpira ukitoka wao huchukua mpaka sekunde 45 kuurusha, matokeo yake wapinzani hupata muda wa kujipanga!
Sasa hoja yako ni uroboti wa wachezaji ama ni nilete kocha mwingine?Wewe si mtu wa mpira kabisa. Unadhani wachezaji ni maroboti? Acheni kukatisha watu tamaa. Tuletee kocha wako atakayefanya uyatakayo.
Ubaya UbwelaaaShangaa na wewe...anatetea palipo na dhahma...maaana hao wa upande wa pili ni wameshajichukulia point 36 kwa timu zao plus magoli 50...hahha anataka kusemaje kwa mfano?? Hahahahh
Kwa hiyo unataka apange nani na nani....Hivi kwa nini Valentino mashaka kila mechi anakaa benchi Lakini hachezi? Hofu ya kufungwa inamfanya Fadlu kutokuwatumia wachezaji wengine ambao anao na wangempa matokeo chanya.
Hivi ni kweli kuwa kila mechi ni Lazima Mohamed Hussein acheze?
Hili swali ni la msingi sana Lakini nimelijibu kwenye bandiko langu.Kwa hiyo unataka apange nani na nani....
Sawa, ila ni vizuri pia kuzingatia kuwa wachezaji wamecheza mechi nyingi mfulilizoUmejawa hofu ya kufungwa kiasi ni kama unazuia wachezaji kuchakarika.
Imani yako kwa Mohamed Hussein, Fabrice Ngoma inaigharimu Timu.
Kibu D ana maguvu Lakini achezi kitimu. Umeshindwa kumuelekeza kuwa akicheza kitimu Simba itafaidika zaidi?
Ahoua anajua kucheza mpira Lakini hachezi kimpira. Afunzwe kuwa kipaji chake kinatakiwa kiinufaishe Timu . Asicheze kama yupo mazoezi.
Kupoteza muda ni sehemu ya mbinu mojawapo ya kimpira. Lakini sasa kipa Moussa Camara anaitumia vibaya hadi anaua morali ya uchezaji kwa wenzake.
iTimu haina Kasi inayotakiwa na ikifunga bao moja tu ndiyo uzingativu hupotea. Yaani Simba ikishinda bao Moja awinaanzakujilinda badala ya kutafuta bao jingine.
Kapombe na Mohamed Hussein vizurwafundishwe kurusha mipira Kwa wakati. Mpira ukitoka wao huchukua mpaka sekunde 45 kuurusha, matokeo yake wapinzani hupata muda wa kujipanga!
Lupweko ndiyo hoja yangu. Presha ya Fadlu kuogopa kufungwa inamfanya asitumie wachezaji wengine hata kama anaowatumia wameonesha kwa uwazi kuwa wamechoka!Sawa, ila ni vizuri pia kuzingatia kuwa wachezaji wamecheza mechi nyingi mfulilizo
Huwa namshangaa sana. Kuchelewa kwake kurusha mpira ndiyo humsababishia ubabaifu!...lakini kinachotokea dakika za mwisho anapata tabu amrushie nani mpira wakati maadui washakaba.
Uhuru wa kuongea ni kama vile anazungumza tu so yupo huru😀😀😀Kwani simba imepoteza?