Mleta mada pamoja na Diamond wote ni mbumbumbu. Mbunge hajengi barabara ila anaiomba Serikali ijenge, Sekali inaangalia vipaumbele vyake na pesa iliyopo. Kabla ya Mdee Jimbo hilo lilikuwa chini ya CCM kwa miaka 40 mbona hawakuweka lami? Matako yenu.
mleta mada Kakojoe ulale. Acha kujadili watu, nadhani upeo wako hauna tofauti na mtoto wa darasa la 6. Mtafute IGP ili akupe taarifa za huyo uliyesema ni Polisi wa Tabora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.