Hivi lugha kama hatumii mara kwa mara itakuwaje mbobeZi kuongea, unategemea mtanzania aongee kiingereza kama mtu anayeishi pale London, ni ngumu sana, hivyo hivyo mnyaturu alihemia Shinyanga haweza kuongea kisukuma fasaha kama mkazi wa kule, ni kannuni ndogo sana hiyo
Kama trillion 103!!!! za Bongo, wenzetu wametuacha Sana, sijui budget ya miaka mingapi kwa Tanzania
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Japan ni taifa ambalo wanaenzi sana tamaduni zao, na wadogo kuheshimu wakubwa hii imepelekea hali ya kiuchumi kubakia ya karibu miaka 30 iliyopita, kule kampuni ni za miaka na miaka, ukisikia Toyota ina miaka zaidi 100 usishangae, hamna kampuni mpya zinazoubuka, vijana hawapewi uhuru kuwa...
Ni karibu mwezi hali ya upatikanaji umeme imekuwa mbaya sana, binafsi nikipiga simu naambiwa umeme hautoshelezi.
Biashara za saluni, uchomeleaji mtaani kwangu zote haziendi vizuri, la kushangaza waziri wa wizara husika yuko zake kimya
Aibu gani hii jamani.
Tanzania kuna vyanzo lukuki vya...
Mwanamke kufika kileleni inatokana na mambo kadhaa si we mwanaume kuweza kukaa masaa tu, unaweza kukaa lisaa na bado asifike, mwingine ndani dakika 5 tayari amefika usikariri endelea kujifunza kwa kila mwanamke,
Jamani kutoa agiza sio tatizo, je serikali inaweza kupeleka dawa na vifaa tiba vyote kutosheleza? Badala ya kutoa kauli kama hizi kila mwaka na mambo yale yale kujirudia ni heri serikali na wanasiasa kuhamasisha kila mwananchi kuwa na bima za CHF la sivyo watu wataendelea kudanganywa kila mara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.