Sio sahihi kusema dini ndio chanzo cha umasikini Afrika. Ukweli ni kwamba hata kabla ya dini kuja, hali ya maisha na ustaarabu katika jamii nyingi za Afrika haikuwa kwenye kiwango cha juu ukilinganisha na sasa.
Hivyo chanzo kikubwa cha umasikini si dini, bali ni sisi wenyewe namna-...
Nikk ni mkali kweli lakini aina ya music anaoufanya hauna mashabiki wengi, shida sio watu kuskiliza radio peke yake, au watu hawapendi kuumiza kichwa, ukweli utabaki ule ule aina ya music wake una mashabiki wachache mnoo
Wengi mnaweza mpinga Gentleman lakini kama ushawai kutana na pisi inayotoa harufu pande zile mzuka wote unakata
Na nimefurahi pia Gentleman kagusia kugusia usafi sio lipstick, na makeup tuu
Inashangaza sana kukuta mwanamke mrembo afu anatoa harufu zisizoeleweka maeneo
Ila katika hili mwanamke ndo anafaa zaidi kuwa mjinga coz hata kwenye sex mara nyingi mwanamke ndo anakua chini kabla wajinga walivokuja kuleta style kijinga miaka ya hivi karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.