Me hii research nliifanya mwenyewe practically kuanzia mikoa ya kaskazini
Arusha - shivas
Moshi - Malindi
Dar es salaam
Sinza africasana
Sinza maeda
Sinza kitambaa chaupe
Riverside
Uwanja wa fisi
Mwananyamala kwa wahaya
Kinondoni vijana
Kinondoni B ben pub
Sokota - sugar ray bar
Temeke sudan...
Mkuu kwa hili wala usizipe media za bongo lawama, coz wamekufa celebrities wengi hapa bongo ila naona ngwea amekua na bahati ya kipekee sana kupewa heshima hiyo.
Nafkiri ungeanzishwa utamaduni na wasanii wa bongo fleva kuwa enzi wenzao ingeleta maana zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.