Recent content by Vien

  1. Vien

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Sio sahihi kusema dini ndio chanzo cha umasikini Afrika. Ukweli ni kwamba hata kabla ya dini kuja, hali ya maisha na ustaarabu katika jamii nyingi za Afrika haikuwa kwenye kiwango cha juu ukilinganisha na sasa. Hivyo chanzo kikubwa cha umasikini si dini, bali ni sisi wenyewe namna-...
  2. Vien

    Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

    Mungu yupo na kwa sisi tunao muamini ametenda mambo makubwa sana maishani mwetu
  3. Vien

    Brazil National Football Team (Selecao Brasileira de Futebol) Special thread

    Hii Brazil ya sasa itaweza kushinda kombe la mwaka huu kwel? Mbona aina ya uchezaji wao hairidhishi kabisa
  4. Vien

    Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    Mkuu naona ushaanza kumuonea wivu wastara vp unataka na wewe ujiweke kwa Dudu?
  5. Vien

    Nikki Mbishi ni Mfalme wa Bongo Hip Hop. Unju ni GOAT!

    Nikk ni mkali kweli lakini aina ya music anaoufanya hauna mashabiki wengi, shida sio watu kuskiliza radio peke yake, au watu hawapendi kuumiza kichwa, ukweli utabaki ule ule aina ya music wake una mashabiki wachache mnoo
  6. Vien

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Wengi mnaweza mpinga Gentleman lakini kama ushawai kutana na pisi inayotoa harufu pande zile mzuka wote unakata Na nimefurahi pia Gentleman kagusia kugusia usafi sio lipstick, na makeup tuu Inashangaza sana kukuta mwanamke mrembo afu anatoa harufu zisizoeleweka maeneo
  7. Vien

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Ila katika hili mwanamke ndo anafaa zaidi kuwa mjinga coz hata kwenye sex mara nyingi mwanamke ndo anakua chini kabla wajinga walivokuja kuleta style kijinga miaka ya hivi karibuni
  8. Vien

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Mkuu nimeona bora ku share hii coz watu huko kwa ground wanaungua wanatafuta no za Fire kwa gharama zozote waachane na hiyo kitu
  9. Vien

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Yeah lakini mpaka wameamua ku part away basi ujue huko ndani moto ulikua ni mkubwa
Back
Top Bottom