Tokea kuzinduliwa kwa mchakato wa kujadili Rasimu mpya ya Katiba kupitia mabaraza, hoja kubwa inayochukuwa nafasi ni Muundo wa serikali. Hili linatokana na misimamo inayotolewa na vyama viwili hasimu hapa nchi kwa sasa yaani CCM na CHADEMA. Kila chama kinavutia kamba kwake; CCM wanataka mfumo wa...
Ubishi wa kijinga usiokuwa na maana, wewe umepata kusoma wapi kuwa mwanadamu anaweza kumuhisia mwenzake kwamba ataishi miaka mingapi hapa duniani. Tubishane kwenye mambo mengine ya msingi haya ya umri wa kuishi tumwachie Muumba peke yake maana ndiye mwenye kujua siku zako za kuishi. Yeye Muumba...
Wengine wameshazoea kudanganywa ndio maana wakifanyiwa vitu kwa uhalisia wanaona kama hakuna kilichofanyika. wamezoea kupewa kanga, tshirt na kofia kwao ndio kufanya kazi. Angalieni kuna siku hivi vitaondoka then mtabakia kulia milele.
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa...
EWE Mungu kila lililo chini jua macho yako yanaona, endelea kuweka mambo hadharani ili kila aliyekuwa akifanya kwa siri yajulikane. ndio wewe usie sinzia wakati wa usiku. Endelea kuwapa ulinzi watu wako ili waseme kweli, kwa kuwa hiyo kweli itatuweka kuwa huru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.