Kuna tetesi kuwa unaweza ibuka mgomo mkubwa wa daladala na mabasi yatokayo na yaendayo mikoani. Mfano tumesikia mara kama 2 wks ago , moshi nako daladala za mjin ziligoma kwa siku moja wiki iliyopita na leo kulikuwa na fukuto la mgomo moto/baridi wa magari yatokayo na yaendayo mikoani. Wadau mnalionaje hili. Kwanini lisitatuliwe kabla halijaleta madhara? "mzaha mzaha hutubua usaha,na peme usijapopema hata ukipema si peme tena"