Mimi ningeshauri kuwa, lile eneo lote la jangwani lichimbwe kuanzia salender bridge kusudi eneo lote la jangwani liungane na bahari na pia boti pamoja na vimeli vidogo vidogo viweze kupita kufika eneo la jangwani na daraja la magari kubwa na refu lipite kwa juu, ujenzi huo utaleta muonekano...
Msaada friji yangu huwa inaunguruma na kutikisika pale umeme unapokata na kurudi, je hiyo inamadhara yoyote? Maana nikiwepo huwa nachomoa waya kwenye socket baadae ndo naliwasha na linawaka vizur, wasiwasi wangu ni pale ambapo nitakuwa mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.