Recent content by victor lee

  1. V

    Ushauri wa kazi ya kufanya

    mtoa mada umechanganya wachangia mada tangu mwanzo. hukusema idea alio nayo shemej yako inayo mpelekea apate mkopo. ndo mana watu wanahoji maswali. kushek verasity yako na credibility ya shemej yako, mtoa mada hauko smat ktk hili, hvo kuwa mskivu kwa kila swali na ushauri ili ujifunze ki2...
  2. V

    Kuhusu barua za kazi

    mungu ni mwema ipo siku xote 2tapata mana kesi hii wanaijua vzr walioko makazni . . . . shika neno. . . tenda neno.
  3. V

    Kazi kazi kazi nafasi mbili

    0712147395
  4. V

    Wakati cdm ikipiga porojo, ccm inafanya haya

    we co m6rabu una2changanyia habari wengne kurasa ya siasa huwa hatuingii kwa kuepuko maumivu ya ujinga wa ccm xa we ujinga huo unauleta huku. hv nikikushtaka kwa kosa la kuinja repitation yangu intentionary ntakua nakukosea? jiangalie wewe.
  5. V

    Mikoa ya kuanzia maisha

    karibu kwe2 bukoba na kadigree kako kamoojaa, uciogope kupigwa makofi ndo unafundishwa kazi. kama we ni mwl wa kiswahili utapata shavu, lakn english hstory cjui nini yote 2nayajua. maisha ni mepesi senene ndiz magimbi rubis na akina koku wapo karbu xana. . . em 2mia assent ya kihaya kusoma hayo...
  6. V

    Mikoa ya kuanzia maisha

    koote niimefiikaaaa. . . da yan umeipanga hyo mikoa kama ilivyo kwenye ule wimbo. safi
  7. V

    Shukrani kwa hii forum

    hii ndo jr
  8. V

    Three Vital Questions Employers Ask

    kwan hayo maswali yana majbu yanayo fanana? xaxa je?
  9. V

    Nafasi za kazi tasaf

    next tym utatakiwa kuwa na mapacha ndo upate kaz. wenye sifa kazi kwenu. . .
  10. V

    application thru email

    pole sana ipo cku utaitwa uckate tamaa
  11. V

    Naomba ushauri shule zipi nipeleke job application- teaching

    uo ndo ukweli tafakari afu uchukue hatua.
  12. V

    Nafasi za kazi ndani ya jf......

    haya ni mazngra ya kunyimana mishahara
Back
Top Bottom