Ushauri wa kazi ya kufanya

Ushauri wa kazi ya kufanya

mtoa mada umechanganya wachangia mada tangu mwanzo. hukusema idea alio nayo shemej yako inayo mpelekea apate mkopo. ndo mana watu wanahoji maswali. kushek verasity yako na credibility ya shemej yako, mtoa mada hauko smat ktk hili, hvo kuwa mskivu kwa kila swali na ushauri ili ujifunze ki2. unaonekana kutaka m2 ashauri sawa na kilicho kwenye akili yako. hii haina mana ya kuomba ushauri. USHAURI. mtoa mada biashara ni nying sana na nzur na mbaya je anataka kufanya ipi? na anataka kuanza na mtaj wa bei gan? na je anataka nani awe mteja wake? mwisho ni mshaur ajenge nyumba za biashara. kama yuko hapa dar. akiwa moro mbeya iringa nk aingze pesa kias kwenye kilimo. anunue ayo magari ayakodishe kwa kampuni kma cocakola azam na kampun nyingne. yangu ni hayo.
 
Ushauri wangu akanunue hisa kwenye kampuni ya bia kwa nusu ya hela na pili akaanzishe biashara ya maana katika maeneo ya kibiashara huku akiikatia Bima biashara yake hiyo.

  • A%20S%208.gif

 
120 ni nyingi sana, ukicheza zinapotea!! nadhani sijui kama mnayo Business plan, oh sorry, kwakuwa hajui afanye business gani maana yake kuwa hakuwa na business plan! Let us, design a project/business (needs time coz its a process), tukikubaliana tutaandaa Business plan itakayo tumika kama ROAD MAP! ni PM
 
angekuwa kapewa hizo pesa sawa, sasa kakopa iweje hakose biashara ya kufanya, pesa hiyo ndugu huwa haifanyiwi majaribu..!!!!
 
Back
Top Bottom