ndg zang wana jf, najua humu wataalamu wa maswala ya IT mmo, leo nilikua nafanya updation ya OS ya cm angu aina ya sony xperia j, baada ya kumaliza kufanya updation nkawa na install hyo update ya os, cm ikaji restart then ikaanza kuinstall update ikawa ina load kwa muda mrefu mwisho ikafail...
hushangai kuona waliomponda lowassa na kumchafua leo ndo mgombea urais wa saccos yao umeona la warioba tu.... zinduka toka usingzn na kutumia akili za mgando kufikilia....
Malisa Godlisten
Mwema ni anayeingia chadema tu anayetoka anatumika na amenunuliwa.... kwa hyo kama kuunganisha nguvu kama kakatwa kwann muwapokee hao waliokatwa na ccm ambao wameshindwa kura za maoni.... chadema na ukawa ikulu muisahau aisee
hujaona chadema kuingilia maamuzi ya ccm kumkata lowassa wanasema ccm haijamtendea haki lowassa? au huko si kuwaingilia ccm? tatzo la wanachadema na wafuasi weng wa chadema mnatumia makalio kufikilia, so ni vyema mkatulia kwanza kabla hamjakurupuka.
tatzo lenu nyinyi wanachadema ni wajinga sana na wavivu wa kufikiria na hamjui maana ya demokrasia... hv kwann mtu mumuone mbaya akionekana yuko nyuma na matakwa yenu?? akiwa upande wenu anakua jembe, akiwa hayuko upande wenu anakua mbaya... nyie bangi znawapeleka kubaya...
wafuasi wa chadema hata akili hamtumiagi aiseeeee cjui kichwan kuna maji au uji tu? kwa hyo mnatufanya sisi hatuna macho? hapo nape yuko wap???? punguza mahaba ndg, najua hayo yote mahaba yanakusumbua.....
kwenye bil.10 alizotoa kununua chama zilikua na mashariti ya kuachiwa nafasi 30 za ubunge kwa ajili ya wafuasi wake... so usilaumu sana mbowe kauza chama..
hata wanaomsifia lowassa ni wale team lowassa na friends of lowassa wala wanachadema wala.msitudanganye.... hlo tumelijua, wakeleketwa wa chadema wanamlilia dr.slaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.