Recent content by vicnyanda

  1. V

    Zitto na Kafulila ni mahasim, lazima kigoma mjini wamzomeee

    Napenda kutangaza rasmi kwa niaba ya watanzani wote nimeisamehe CCM na ntaipa kura yanggu kwa ngazi zote, udiwani, ubunge na urais....
  2. V

    ufumbuzi wa cm kuzima.

    ndg zang wana jf, najua humu wataalamu wa maswala ya IT mmo, leo nilikua nafanya updation ya OS ya cm angu aina ya sony xperia j, baada ya kumaliza kufanya updation nkawa na install hyo update ya os, cm ikaji restart then ikaanza kuinstall update ikawa ina load kwa muda mrefu mwisho ikafail...
  3. V

    Kipindi cha "Mada moto"

    wamepanga hoja gani sasa? kama yule jamaa ambae hata elim ya msing sidhani kama alipata, alikua anaongea tu bila hoja yoyote ya msing..
  4. V

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    huo ndo ujinga mlionao wafuata mkumbo? kuamn kila mtu anawasaport nyny tu..
  5. V

    Jaji Sinde Warioba kanishangaza

    hushangai kuona waliomponda lowassa na kumchafua leo ndo mgombea urais wa saccos yao umeona la warioba tu.... zinduka toka usingzn na kutumia akili za mgando kufikilia....
  6. V

    Machemuli mgombea wa ubunge Jimbo la Ukerewe kupitia ACT-Wazalendo

    kama walivoshindwa mnaowapokea waliokatwa wanatoka CCM...
  7. V

    Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

    Malisa Godlisten Mwema ni anayeingia chadema tu anayetoka anatumika na amenunuliwa.... kwa hyo kama kuunganisha nguvu kama kakatwa kwann muwapokee hao waliokatwa na ccm ambao wameshindwa kura za maoni.... chadema na ukawa ikulu muisahau aisee
  8. V

    Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

    hahahahahaha kumtoa whatsap ndo umemkomoa au niaje? poor idea kabisa... tatzo lenu wana ukawa mnawadanganya watanzania kua mna demokrasia ya ukweli lakin kiukweli hamna demokrasia yoyote angalia lowassa alivopitishwa kimabavu.... kingne msijione nyie wakamilifu kupita kias, mtu akihama vyama...
  9. V

    Philipo Mwakibinga ajiunga na ACT Wazalendo

    kweli kaka, mtu ni mwema akiingia chadema, na akitoka ni mbaya..... chadema hakuna demokrasia aiseee
  10. V

    Kimenuka mwibara/Bunda

    hujaona chadema kuingilia maamuzi ya ccm kumkata lowassa wanasema ccm haijamtendea haki lowassa? au huko si kuwaingilia ccm? tatzo la wanachadema na wafuasi weng wa chadema mnatumia makalio kufikilia, so ni vyema mkatulia kwanza kabla hamjakurupuka.
  11. V

    Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

    tatzo lenu nyinyi wanachadema ni wajinga sana na wavivu wa kufikiria na hamjui maana ya demokrasia... hv kwann mtu mumuone mbaya akionekana yuko nyuma na matakwa yenu?? akiwa upande wenu anakua jembe, akiwa hayuko upande wenu anakua mbaya... nyie bangi znawapeleka kubaya...
  12. V

    Morogoro leo ccm wameandamana bila bugudha

    wafuasi wa chadema hata akili hamtumiagi aiseeeee cjui kichwan kuna maji au uji tu? kwa hyo mnatufanya sisi hatuna macho? hapo nape yuko wap???? punguza mahaba ndg, najua hayo yote mahaba yanakusumbua.....
  13. V

    Je, ni kweli Mgeja kugombea Msalala?

    kwenye bil.10 alizotoa kununua chama zilikua na mashariti ya kuachiwa nafasi 30 za ubunge kwa ajili ya wafuasi wake... so usilaumu sana mbowe kauza chama..
  14. V

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    hata wanaomsifia lowassa ni wale team lowassa na friends of lowassa wala wanachadema wala.msitudanganye.... hlo tumelijua, wakeleketwa wa chadema wanamlilia dr.slaa...
Back
Top Bottom