Recent content by Veteran Sailor

  1. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni miongoni mwa political blunders zinazowatesa sana wafuata mkumbo physically and mentally kwasasa

    Sio kwa tume inayoteuliwa na Raisi, imsahihishie mitihani yake!!!? Labda kama tuko kwenye mfumo Mpya
  2. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Kwa miundombinu gani? Au mpango wako ni wa baada ya miaka 20?
  3. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Kipindi cha foolish age niliwahi mpakata binti mmoja kibonge (tulikuwa tunasoma nae darasa moja) kipindi cha tour za shule, mfukoni nilikuwa na simu,nikahisi itavunjika ila nilijikaza, mpaka tunafika simu kioo hakionyeshi, nilijilaumu sanaaa ila nikikumbuka ile minyamaaaaa nasahauuu
  4. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni miongoni mwa political blunders zinazowatesa sana wafuata mkumbo physically and mentally kwasasa

    Ni sahihi kama tu ukiwa miongoni ya wanufaika,ila kama ukiwa nje ya mfumo utaona kabisa kwamba mambo hayako fair. Mfano mdogo wa shule ya msingi tu.. "Mimi binafsi mfanyakazi wangu hawezi kunifanyia assessment na kunipa marks mbovu wakati anatambua mimi ni bosi wake.."
  5. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Kwani Mungu wa Catholic ndio Mungu wa Waislamu?? Au Mungu wa Buddha ndio Mungu wa Hindu??
  6. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mbona unarukia swali la mbele kabla ya kujibu langu la kwanza?? Huoni kama swali langu tayari linaonyesha kukubali uwepo wa huyo unayeamini kuwa ndio chanzo cha viumbe vyote ulimwenguni(Mungu)?? Swali langu ni Mungu yupi unayemzungumzia maana naona wanatajwa Wengi??
  7. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Mkuu, ajali kazini😄
  8. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mkuu,ninaujutia sana muda wangu nilioupoteza nikifuata ujinga wa Dini.
  9. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni miongoni mwa political blunders zinazowatesa sana wafuata mkumbo physically and mentally kwasasa

    Hata wewe nina imani huwezi kushindana kufanya mtihani na mtu ambaye tayari amepewa majibu yote.
  10. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Acheni masihara,wanawake vibonge wana pepo yao jamani...
  11. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Sahihi,mwanzoni nilikuwa mjinga ila nimeshaelewa kuwa dini ni ujinga na hadithi zilizotungwa na watu.
  12. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Is God Evil? ( Je Mungu ni Muovu?)

    Mbona maelezo Mengi,tuambie kwanza ni Mungu yupi unayemzungumzia?
  13. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni miongoni mwa political blunders zinazowatesa sana wafuata mkumbo physically and mentally kwasasa

    Mkuu,umekisoma kweli ulichokiandika?
Back
Top Bottom