Kipindi cha foolish age niliwahi mpakata binti mmoja kibonge (tulikuwa tunasoma nae darasa moja) kipindi cha tour za shule, mfukoni nilikuwa na simu,nikahisi itavunjika ila nilijikaza, mpaka tunafika simu kioo hakionyeshi, nilijilaumu sanaaa ila nikikumbuka ile minyamaaaaa nasahauuu