Recent content by Veteran Sailor

  1. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania ID zenu nyingine tunazijua

    Kuwa na ID zaidi ya moja nako ni tatizo la afya ya akili.
  2. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Unadhani una mbio sana? Tazama Facts kuhusu wanyama wa porini!

    Asante kwa elimu
  3. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Mngefuata katiba msingekandamiza uhuru wa maoni..
  4. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Hapa Tanzania hakuna familia yenye tamaa ya mali na uroho wa madaraka kama ya Kikwete.

    Hiyo ni asili yetu sisi wakwele.
  5. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Basi ni bora mkatangaza kufuta mfumo wa vyama vingi, turudi miaka ya 50 kweusi maana fair groud imewashinda.
  6. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Hii inatokea ndani kabisa ya kizimkazi.
  7. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Anguko linakuja soon, kitu pekee kinachonipa imani hiyo ni kwamba hata machawa wa ccm moyoni mnakili kuwa yanayotendeka ni uovu but hamuwezi sema waziwazi sababu ya njaa na woga tu. Maana Kule UVCCM viapo vinajieleza kuwa chochote kitakachofanywa na kiongozi kiwe kizuri au kibaya ni kumlinda na...
  8. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Hata kwenye mpira mambo yanapokuwa magumu si kosa kurudisha mpira kwa kipa na kujipanga upya.
  9. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kujitenga na siasa, vinginevyo uwe tayari kupangiwa namna ya kuishi na wanasiasa
  10. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Chama Cha Mafisadi kiko mbioni kusambaratika.
  11. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Tulijaribu kuwapiga viboko matokeo yake tukaishia kuumia sisi...
  12. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Ukikosoa unakuwa adui wa taifa.
  13. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Ngoma inapovuma sana hupasuka..
Back
Top Bottom