Recent content by Verrazanno

  1. V

    JamiiForums Tanzania Msanii Hakeem 5: Wanataka kumteka Mama yangu naomba ulinzi wa Serikali

    Wakina Davido wana uelewa mpana sana wa mambo ya civic knowledge. Sio hawa wa kwetu. Huyu anambembeleza Rais na Waziri Mkuu binafsi wamlinde Mama yake. Mamaako alindwe kwani we nani ??????? Kama wewe una platform, jina na sauti kwenye jamii tetea ulinzi wa jamii nzima. Elekeza nasaha zako...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha vikwazo kesho, Nchimbi na Kombo wapo Marekani, Samia yupo Dubai

    Kamati ilikaa lini ???
  3. V

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Archbishop Kaziimba Slams Government Over Withdrawn Medical Intern Allowances

    Vihabari vidogo vidogo vya mishahara ya vibarua wa Uganda vinatuhusu nini sisiiiii ??? Uganda wana discuss mambo ya bongo? Kwa nini tusijikite kwenye ya kwetuuuu???? Mtanganyika kwa nini anapenda ku kiss stinking ass za watu wa mataifa mengine ? Halafu habari inapewa permanent front page...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Ujana maji ya moto Wanatathmini gari kwa uwezo wa mbio Kana kwamba kuna ma highway ya kukimbiza magari
  5. V

    JamiiForums Tanzania Nimekosa huduma, wahusika wako bungeni, ni zamu ya wizara yao. Mbona Ulaya hakuna huo utaratibu na utopolo ???

    Tulidai uhuru ili tujitawale kibangi bangi ??? Niliwahi kuishi nje. Sikuwahi kwenda kwenye ofisi ya serikali ( uhamiaji, ofisi ya kodi, msajili wa leseni na magari, mahakama, msajili wa kupiga kura, msajili wa ardhi, msajili wa bunduki nk nk) nikaambiwa wahusika wameenda Washington DC, au wako...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Anaekuza mambo hapo ni wewe. Mmetumia kuzaa kama kigezo cha kukupandisha wewe umuhimu wako juu yangu mimi kwenye ndoa. Umenizalia watoto ? Na mimi nimekutolea mbegu !!!! Na hao watoto wewe ndio utakaofaidika nao muda mrefu zaidi! Usijaribu kunipumbaza kwa kusema umenizalia watoto...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Na yeye akiacha ile kubeba mimba ni nini kingine ambacho mwanamne hawezi kukifanya ? Yeye ana mfuko wa uzazi mimi nina mbegu ! Watoto hajanizalia mimi !!! Na atakaefaidika zaidi na watoto ni yeye. Aliyemzalia mwenzake watoto ni mwanamke wa Michael Jackson, walipotoka hospitali mwanamke...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    NAPINGA hapo unaposema mwanamke mwema, amekuzalia watoto. Kana kwamba ni favor amekufanyia. Hao watoto ni wa wote wawili. Tena yeye mwanamke atafaidika zaidi na hao watoto.
  9. V

    JamiiForums Tanzania Kama ulisoma hili gazeti wewe ni mwamba sana. tuambie maisha yanaendaje pande hizo

    Vichwa vya habari vizito, ndani upupu Sioni wanapoeleza NI KIVIPI HANGA NI MPUMBAVU Na NI KIVIPI KAMBONA NI MSALITI, MWIZI NA MALAYA Jamaa alikuwa bonge la dictator
  10. V

    JamiiForums Tanzania Umaarafu na kupendwa sana kwa bracelet ya Kenya inatokana na nini?

    Nyerere alitufanya mafala na mapoyoyo sana kwa kutudanganya Afrika ni moja, dunia yote ni moja Ndo maana tunavaa bendera za Kenya na kutundika bendera za Israel na Saudi kwenye magari na daladala Mapoyoyo ndio wanajipamba na mabendera ya nchi nyingine. Mkenya never ever kamwe hatovaa bendera...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

    Watanzania wanaojua hicho ulichokisema, hawafiki 15. Ukiondoa madaktari.
  12. V

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Halafu uraia hautolewi kwa vigezo vya kujua mpira Tuseme angekuwa mchezaji kibonde, angeenda kuomba uraia wa Tanzania angeambiwa we hujui mpira, hupati uraia ? Na pia Waziri ame assume kwamba Mzambia anautolea udenda uraia wa Tanzania just because anacheza mpira wa kulipwa Tanzania. Chama...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Trump hawezi kupasuka. Hayo magari Marekani hakuna! Uzianeni nyinyi kwa nyinyi, soko la Marekani Mchina hajatoboa. Hayupo. Halafu China mpaka leo mashine kubwa bado zinamshinda. Nanukuu Aero Engine Corporation of China (AECC). While they have achieved significant advancements in...
  14. V

    JamiiForums Tanzania Ramani ya vyumba 3 vya kulala simple hii hapa

    Sasa hapa market niche gani unayo i target ? Nje umepaki Red Range Rover, ndani kijumba hakina nafasi ya kuhifafhi mali zangu! Hakuna mi walk in closet ya kutundika mi suti yangu. Haijulijani nyumba ni ya Mbunge mwizi au Muuguzi zahanati ya kata. Unaonyesha kabisa bwana architecture huna...
  15. V

    JamiiForums Tanzania Heche: Kumpeleka Mwenyekiti wetu bila Taarifa ya Mawakili wa chama ni kitendo cha aibu na kinachotia shaka sana

    Tatizo Lissu hana attorney of ⁷record. Hana wakili. CHADEMA haiko mbele ya mahakama, kwa nini wawaambie mawakili wa CHADEMA ? Hakuna kutambuana. Nyinyi hamumtambui kiongozi wao wa umma, na wao hawamtambui kiongozi wenu wa umma. Lissu anapaswa kusajili wakili. Hawana obligation ya kutangaza...
Back
Top Bottom