Recent content by Verrazanno

  1. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Anaekuza mambo hapo ni wewe. Mmetumia kuzaa kama kigezo cha kukupandisha wewe umuhimu wako juu yangu mimi kwenye ndoa. Umenizalia watoto ? Na mimi nimekutolea mbegu !!!! Na hao watoto wewe ndio utakaofaidika nao muda mrefu zaidi! Usijaribu kunipumbaza kwa kusema umenizalia watoto...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Na yeye akiacha ile kubeba mimba ni nini kingine ambacho mwanamne hawezi kukifanya ? Yeye ana mfuko wa uzazi mimi nina mbegu ! Watoto hajanizalia mimi !!! Na atakaefaidika zaidi na watoto ni yeye. Aliyemzalia mwenzake watoto ni mwanamke wa Michael Jackson, walipotoka hospitali mwanamke...
  3. V

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    NAPINGA hapo unaposema mwanamke mwema, amekuzalia watoto. Kana kwamba ni favor amekufanyia. Hao watoto ni wa wote wawili. Tena yeye mwanamke atafaidika zaidi na hao watoto.
  4. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ulisoma hili gazeti wewe ni mwamba sana. tuambie maisha yanaendaje pande hizo

    Vichwa vya habari vizito, ndani upupu Sioni wanapoeleza NI KIVIPI HANGA NI MPUMBAVU Na NI KIVIPI KAMBONA NI MSALITI, MWIZI NA MALAYA Jamaa alikuwa bonge la dictator
  5. V

    JamiiForums Tanzania Umaarafu na kupendwa sana kwa bracelet ya Kenya inatokana na nini?

    Nyerere alitufanya mafala na mapoyoyo sana kwa kutudanganya Afrika ni moja, dunia yote ni moja Ndo maana tunavaa bendera za Kenya na kutundika bendera za Israel na Saudi kwenye magari na daladala Mapoyoyo ndio wanajipamba na mabendera ya nchi nyingine. Mkenya never ever kamwe hatovaa bendera...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

    Watanzania wanaojua hicho ulichokisema, hawafiki 15. Ukiondoa madaktari.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Halafu uraia hautolewi kwa vigezo vya kujua mpira Tuseme angekuwa mchezaji kibonde, angeenda kuomba uraia wa Tanzania angeambiwa we hujui mpira, hupati uraia ? Na pia Waziri ame assume kwamba Mzambia anautolea udenda uraia wa Tanzania just because anacheza mpira wa kulipwa Tanzania. Chama...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Trump hawezi kupasuka. Hayo magari Marekani hakuna! Uzianeni nyinyi kwa nyinyi, soko la Marekani Mchina hajatoboa. Hayupo. Halafu China mpaka leo mashine kubwa bado zinamshinda. Nanukuu Aero Engine Corporation of China (AECC). While they have achieved significant advancements in...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Ramani ya vyumba 3 vya kulala simple hii hapa

    Sasa hapa market niche gani unayo i target ? Nje umepaki Red Range Rover, ndani kijumba hakina nafasi ya kuhifafhi mali zangu! Hakuna mi walk in closet ya kutundika mi suti yangu. Haijulijani nyumba ni ya Mbunge mwizi au Muuguzi zahanati ya kata. Unaonyesha kabisa bwana architecture huna...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Heche: Kumpeleka Mwenyekiti wetu bila Taarifa ya Mawakili wa chama ni kitendo cha aibu na kinachotia shaka sana

    Tatizo Lissu hana attorney of ⁷record. Hana wakili. CHADEMA haiko mbele ya mahakama, kwa nini wawaambie mawakili wa CHADEMA ? Hakuna kutambuana. Nyinyi hamumtambui kiongozi wao wa umma, na wao hawamtambui kiongozi wenu wa umma. Lissu anapaswa kusajili wakili. Hawana obligation ya kutangaza...
  11. V

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wafungue kesi mahakama za kimataifa serikali ipewe amri kufanya kazi kwa mujibu wa sheria. Tusipokuwa makini tutakuja kusikia Lissu amekufa

    Sheria zilizopindishwa na serikali zinasema watu ambao ni "public figure internationally" waletwe mahakamani kwa kutangaziwa umma mapema ?
  12. V

    JamiiForums Tanzania Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Sio wageni. Wageni wamealikwa na nani ? Hivi mgeni huwa anapigwa ? Hao ni wavamizi. Nchi yao imejaa, Waafrika Kusini wana akili ya kijua kwamba land is finite. Ardhi huisha. Wabongo hawajui. Wanadhani wana ardhi mpaka mwezini. Wanaweza kupokea kila mtu. Wavamizi, fukuzilia mbali. Ulaya...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Hiyo kauli mbiu yao, unayoipenda, maana yake nini ??
  14. V

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Mafanikio makubwa katika tasnia fulani. Kanuni yako inakufunga. Mpoki ana mafanikio makubwa katika tasnia fulani. Futa rudia tena kuandika nani anapaswa kuwa mgeni rasmi.
  15. V

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Msigwa, soko la dunia hawauzi dizeli wala petroli! Na hayapimwi kwa kilo!

    Kwa hiyo lita moja ulaya ni dola mia nane ???? Inakuingia akilini hiyo ? Aliyeandika hotuba ya Rais is clueless. Aliyepeleka kakaratasi ya kumsahisha na yeye ni scrub. Msigwa - ambaye yeye alijiandaa na presser - akqpiga simu TPDC, akapiga simu kwa mabalozi Ulaya, akapiga simu TRA, Bandari...
Back
Top Bottom