Recent content by Verrazanno

  1. V

    Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Sio wageni. Wageni wamealikwa na nani ? Hivi mgeni huwa anapigwa ? Hao ni wavamizi. Nchi yao imejaa, Waafrika Kusini wana akili ya kijua kwamba land is finite. Ardhi huisha. Wabongo hawajui. Wanadhani wana ardhi mpaka mwezini. Wanaweza kupokea kila mtu. Wavamizi fukuzilia mbali. Ulaya na...
  2. V

    Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Mafanikio makubwa katika tasnia fulani. Kanuni yako inakufunga. Mpoki ana mafanikio makubwa katika tasnia fulani. Futa rudia tena kuandika nani anapaswa kuwa mgeni rasmi.
  3. V

    Mwambieni Msigwa, soko la dunia hawauzi dizeli wala petroli! Na hayapimwi kwa kilo!

    Kwa hiyo lita moja ulaya ni dola mia nane ???? Inakuingia akilini hiyo ? Aliyeandika hotuba ya Rais is clueless. Aliyepeleka kakaratasi ya kumsahisha na yeye ni scrub. Msigwa - ambaye yeye alijiandaa na presser - akqpiga simu TPDC, akapiga simu kwa mabalozi Ulaya, akapiga simu TRA, Bandari...
  4. V

    Mwambieni Msigwa, soko la dunia hawauzi dizeli wala petroli! Na hayapimwi kwa kilo!

    Msigwa hawezi kuwa anaongelea refined products. Kwa saab katamka - in fact kaandika - neno SOKO LA DUNIA Tatizo, refined products haziuzwi soko la dunia. VASELINE ya kujipaka usoni ni mafuta ya ardhini lakini hayauzwi kwenye soko la dunia! Hawa watu ndio wanaenda kujadili uwekezaji wa...
  5. V

    Mwambieni Msigwa, soko la dunia hawauzi dizeli wala petroli! Na hayapimwi kwa kilo!

    Eti katoa bei za dizeli na petroli soko la dunia akijaribu kunyoosha kauli za Rais. Msigwa, ifike mahala mkubali kwamba kwenye nchi ya watu mil 65, watu wa serikali laki mbili tatu hawawezi kuwa wanajua kila kitu kuliko wengine wooote tuliobaki! Punguza kutoa macho na mapovu wakati unaongea...
  6. V

    Mwalimu Afariki Dunia baada ya kushambuliwa shambani Masasi - Mtwara kisa mgogoro wa ardhi

    Third World. Tumekwama tumekwisha. Tulianzisha local government reform lakini zimedunda. Tulidhani serikali za mitaa na Halmashauri zitakuwa na ma data kama ya Kamishna wa ardhi na Msajiri Dodoma. Lakini vipimo vya ardhi bado ni kwa hatua na miti ya miembe. Tuna ardhi lakini hatuna elimu ya...
  7. V

    KERO St Mathews inamzuia mwanangu kuhitimu Form 6, wanadai ni mtoro wakati alikuwa anaumwa na nimeenda na vithibitisho

    Umechemka mwenyewe kuchelewa kuripoti dharura. Na shule hiyo itakuwa na bei karibu na bure, shule haiko serious, wala mzazi, wala mtoto. Gharama za shule nyingine zilivyo za kimauaji mtoto asipotokea siku moja mbili aidha shule itapiga simu au mzazi atapiga simu shuleni. Huwezi...
  8. V

    INAUZWA Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

    Makontena ya kisasa. Ya kizamani yalikuwaje ???
  9. V

    Mwigulu: Mkandarasi aliyepewa mradi wa umwagiliaji Karatu na hajatekeleza, anyang'anywe pasipoti na ashikiliwe mpaka atapike pesa zetu

    Huu ni uelewa mbovu kidogo wa haki za kiraia. Jerry Slaa amemfutia mtu hati ya kiwanja, akavunja ghorofa, akashtakiwa, mwananchi kashinda mabilioni mahakamani. Mbona Jaji hakusema hati ni mali serikali, kiwanja ni mali ya serikali, mwananchi kubali yaishe ????? Hakuna nyaraka duniani ambayo...
  10. V

    CHADEMA yakutana na Mwakilishi wa UN, ni kuhusu Mauaji ya kupangwa ya octoba 29, Moto umewaka

    Nchi huru maana yake nini ? Raia wana uhuru ? Iran imeua raia wake yenyewe barabarani. Dunia lazma itakudharau.
  11. V

    Mwigulu: Mkandarasi aliyepewa mradi wa umwagiliaji Karatu na hajatekeleza, anyang'anywe pasipoti na ashikiliwe mpaka atapike pesa zetu

    Anha, kwa hiyo kumbe ishu sio uraia na passipoti ni ya nani kati ya nchi na mtu. Ishu ni utaratibu wa kisheria kufuatwa. Iwe passipoti ya ndani au ya kigeni. Pasipoti haina kinga kwa vile eti sio ya kwetu. Uliteleza. Na kwa nini unaendeleza kukaza lakini ya kwangu mimi ndio yanakuwa ubishi ...
  12. V

    Mwigulu: Mkandarasi aliyepewa mradi wa umwagiliaji Karatu na hajatekeleza, anyang'anywe pasipoti na ashikiliwe mpaka atapike pesa zetu

    Ulisema hiyo passport ya foreigner sio ya kwao. Nikataka kujua kama angekuwa Mtanzania mkandarasi ingekuwa sawa kumkwapua passport ??? Swali langu nadhani ni la ndio ama hapana. Wewe ndio umesema hiyo passport sio ya kwao!
  13. V

    Mwigulu: Mkandarasi aliyepewa mradi wa umwagiliaji Karatu na hajatekeleza, anyang'anywe pasipoti na ashikiliwe mpaka atapike pesa zetu

    Angekuwa ni mkandarasi Mtanzania, wangekuwa sawa kumnyang'anya passport yao na NIDA card yao "mpaka hela azitapike na asiruke mipaka" ??
  14. V

    Nawezaje pata/calculate square meter kwa eneo lenye pembe 4 lenye urefu tofauti?

    Haiwezekani. Isoperimetric Inequality Principle. Vitu vyote vyenye mzingo sawa (perimeter), si lazma vilingane eneo. Umetupa perimeter tu hapo, Haiwezekani kujua eneo. Kwa saab inategemeana na vimeunganishwa vipi hivyo vipande vinne vya kingo. Chagua umbo moja kwa kuunganisha hizo kingo...
Back
Top Bottom