Sio wageni.
Wageni wamealikwa na nani ?
Hivi mgeni huwa anapigwa ?
Hao ni wavamizi.
Nchi yao imejaa, Waafrika Kusini wana akili ya kijua kwamba land is finite. Ardhi huisha. Wabongo hawajui. Wanadhani wana ardhi mpaka mwezini. Wanaweza kupokea kila mtu.
Wavamizi fukuzilia mbali.
Ulaya na...
Mafanikio makubwa katika tasnia fulani.
Kanuni yako inakufunga.
Mpoki ana mafanikio makubwa katika tasnia fulani.
Futa rudia tena kuandika nani anapaswa kuwa mgeni rasmi.
Kwa hiyo lita moja ulaya ni dola mia nane ????
Inakuingia akilini hiyo ?
Aliyeandika hotuba ya Rais is clueless.
Aliyepeleka kakaratasi ya kumsahisha na yeye ni scrub.
Msigwa - ambaye yeye alijiandaa na presser - akqpiga simu TPDC, akapiga simu kwa mabalozi Ulaya, akapiga simu TRA, Bandari...
Msigwa hawezi kuwa anaongelea refined products. Kwa saab katamka - in fact kaandika - neno SOKO LA DUNIA
Tatizo, refined products haziuzwi soko la dunia.
VASELINE ya kujipaka usoni ni mafuta ya ardhini lakini hayauzwi kwenye soko la dunia!
Hawa watu ndio wanaenda kujadili uwekezaji wa...
Eti katoa bei za dizeli na petroli soko la dunia akijaribu kunyoosha kauli za Rais.
Msigwa, ifike mahala mkubali kwamba kwenye nchi ya watu mil 65, watu wa serikali laki mbili tatu hawawezi kuwa wanajua kila kitu kuliko wengine wooote tuliobaki!
Punguza kutoa macho na mapovu wakati unaongea...
Third World. Tumekwama tumekwisha.
Tulianzisha local government reform lakini zimedunda. Tulidhani serikali za mitaa na Halmashauri zitakuwa na ma data kama ya Kamishna wa ardhi na Msajiri Dodoma.
Lakini vipimo vya ardhi bado ni kwa hatua na miti ya miembe.
Tuna ardhi lakini hatuna elimu ya...
Umechemka mwenyewe kuchelewa kuripoti dharura.
Na shule hiyo itakuwa na bei karibu na bure, shule haiko serious, wala mzazi, wala mtoto. Gharama za shule nyingine zilivyo za kimauaji mtoto asipotokea siku moja mbili aidha shule itapiga simu au mzazi atapiga simu shuleni.
Huwezi...
Huu ni uelewa mbovu kidogo wa haki za kiraia.
Jerry Slaa amemfutia mtu hati ya kiwanja, akavunja ghorofa, akashtakiwa, mwananchi kashinda mabilioni mahakamani.
Mbona Jaji hakusema hati ni mali serikali, kiwanja ni mali ya serikali, mwananchi kubali yaishe ?????
Hakuna nyaraka duniani ambayo...
Anha, kwa hiyo kumbe ishu sio uraia na passipoti ni ya nani kati ya nchi na mtu. Ishu ni utaratibu wa kisheria kufuatwa. Iwe passipoti ya ndani au ya kigeni.
Pasipoti haina kinga kwa vile eti sio ya kwetu. Uliteleza.
Na kwa nini unaendeleza kukaza lakini ya kwangu mimi ndio yanakuwa ubishi ...
Ulisema hiyo passport ya foreigner sio ya kwao.
Nikataka kujua kama angekuwa Mtanzania mkandarasi ingekuwa sawa kumkwapua passport ???
Swali langu nadhani ni la ndio ama hapana.
Wewe ndio umesema hiyo passport sio ya kwao!
Haiwezekani.
Isoperimetric Inequality Principle.
Vitu vyote vyenye mzingo sawa (perimeter), si lazma vilingane eneo.
Umetupa perimeter tu hapo, Haiwezekani kujua eneo.
Kwa saab inategemeana na vimeunganishwa vipi hivyo vipande vinne vya kingo.
Chagua umbo moja kwa kuunganisha hizo kingo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.