Anaekuza mambo hapo ni wewe.
Mmetumia kuzaa kama kigezo cha kukupandisha wewe umuhimu wako juu yangu mimi kwenye ndoa.
Umenizalia watoto ? Na mimi nimekutolea mbegu !!!!
Na hao watoto wewe ndio utakaofaidika nao muda mrefu zaidi!
Usijaribu kunipumbaza kwa kusema umenizalia watoto...
Na yeye akiacha ile kubeba mimba ni nini kingine ambacho mwanamne hawezi kukifanya ?
Yeye ana mfuko wa uzazi mimi nina mbegu !
Watoto hajanizalia mimi !!!
Na atakaefaidika zaidi na watoto ni yeye.
Aliyemzalia mwenzake watoto ni mwanamke wa Michael Jackson, walipotoka hospitali mwanamke...
NAPINGA hapo unaposema mwanamke mwema, amekuzalia watoto. Kana kwamba ni favor amekufanyia.
Hao watoto ni wa wote wawili. Tena yeye mwanamke atafaidika zaidi na hao watoto.
Vichwa vya habari vizito, ndani upupu
Sioni wanapoeleza NI KIVIPI HANGA NI MPUMBAVU
Na NI KIVIPI KAMBONA NI MSALITI, MWIZI NA MALAYA
Jamaa alikuwa bonge la dictator
Nyerere alitufanya mafala na mapoyoyo sana kwa kutudanganya Afrika ni moja, dunia yote ni moja
Ndo maana tunavaa bendera za Kenya na kutundika bendera za Israel na Saudi kwenye magari na daladala
Mapoyoyo ndio wanajipamba na mabendera ya nchi nyingine.
Mkenya never ever kamwe hatovaa bendera...
Halafu uraia hautolewi kwa vigezo vya kujua mpira
Tuseme angekuwa mchezaji kibonde, angeenda kuomba uraia wa Tanzania angeambiwa we hujui mpira, hupati uraia ?
Na pia Waziri ame assume kwamba Mzambia anautolea udenda uraia wa Tanzania just because anacheza mpira wa kulipwa Tanzania. Chama...
Trump hawezi kupasuka. Hayo magari Marekani hakuna!
Uzianeni nyinyi kwa nyinyi, soko la Marekani Mchina hajatoboa. Hayupo.
Halafu China mpaka leo mashine kubwa bado zinamshinda.
Nanukuu
Aero Engine Corporation of China (AECC). While they have achieved significant advancements in...
Sasa hapa market niche gani unayo i target ?
Nje umepaki Red Range Rover, ndani kijumba hakina nafasi ya kuhifafhi mali zangu! Hakuna mi walk in closet ya kutundika mi suti yangu.
Haijulijani nyumba ni ya Mbunge mwizi au Muuguzi zahanati ya kata.
Unaonyesha kabisa bwana architecture huna...
Tatizo Lissu hana attorney of ⁷record. Hana wakili.
CHADEMA haiko mbele ya mahakama, kwa nini wawaambie mawakili wa CHADEMA ?
Hakuna kutambuana.
Nyinyi hamumtambui kiongozi wao wa umma, na wao hawamtambui kiongozi wenu wa umma.
Lissu anapaswa kusajili wakili.
Hawana obligation ya kutangaza...
Sio wageni.
Wageni wamealikwa na nani ?
Hivi mgeni huwa anapigwa ?
Hao ni wavamizi.
Nchi yao imejaa, Waafrika Kusini wana akili ya kijua kwamba land is finite. Ardhi huisha. Wabongo hawajui. Wanadhani wana ardhi mpaka mwezini. Wanaweza kupokea kila mtu.
Wavamizi, fukuzilia mbali.
Ulaya...
Mafanikio makubwa katika tasnia fulani.
Kanuni yako inakufunga.
Mpoki ana mafanikio makubwa katika tasnia fulani.
Futa rudia tena kuandika nani anapaswa kuwa mgeni rasmi.
Kwa hiyo lita moja ulaya ni dola mia nane ????
Inakuingia akilini hiyo ?
Aliyeandika hotuba ya Rais is clueless.
Aliyepeleka kakaratasi ya kumsahisha na yeye ni scrub.
Msigwa - ambaye yeye alijiandaa na presser - akqpiga simu TPDC, akapiga simu kwa mabalozi Ulaya, akapiga simu TRA, Bandari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.