Recent content by veronica gondwe

  1. V

    Simuamini tena mke wangu!

    sm tym wanawake tuna matatizo sana! inashangaza kuona unashindwa kumlipia mwanao wa kumzaa ada ya shule, eti km vipi mtoto akae nyumbani! dah! we mwanamke! pole sana bro. swala la kufanya biashara na dadaake its ok, but kubwa ni mtt kumpa haki yake, na isitoshe mume mambo yameyumba na ukweli...
  2. V

    Wanaume huvutiwa kufanya mapenzi na rafiki za wake zao

    hakuna uzuri wowote wa kutembea na rafiki wa mkeo bali ni kumdhalilisha mkeo, na kutoa nafasi kwa hao rafiki kumdharau mkeo. ovyoooo!!
  3. V

    Adungwa mimba baada ya kunikataa

    we vp! kwa hy we ndo unataka kujifanya ulikuwa na nia njema nae! halafu bro inaonesha we mkuda, m,bea! mnanihii...! NI UKWELI LAKINI HAITUHUSU UTACHEKA VIZURI CKU DADAAKO AKIFANYIWA KM PENDO.
  4. V

    Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

    wanawake wengi walioko kwny ndoa wanavumilia matatizo, karaha, manyanyaso na mengine mengi eti tu kwasababu nikitoka nitaonekana nimeachika! matokeo yake magonjwa yote yatokanayo na mawazo yanamkutia hapo! yani ndo anafia hapo! hata kiapo kanisani kinasema" TUTAISHI KWA SHIDA NA RAHA, CYO KWA...
  5. V

    Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

    ndoa pia ina majira km yalivyo majira ya mwaka. kuna kipupwe, masika na kiangazi. sasa inategemea wewe majira yako yamemudu kwa muda gani, wakati mwingine unaweza kuingia kwenye ndoa ukakumbana na raha, raha, raha! ukadumu ktk kipindi cha rara maybe kwa miaka mitano. kikaja kipindi cha matatizo...
  6. V

    je hii ni kweli?

    dah! bro una hatari! ako kakaulikako kamapadre na walokole kakali!! unakandugu kako kapadre au kalokole kalishawahi kuvunja na kuharibu kale ka amri ya sita ya mungu? inamana hao ndg zako hawajui biblia imesema ole wao wafilao na wafilwao! na ndg zako wana hatari pia!!
  7. V

    Yusuf Bakari abaka kuku

    hii dunia jamani binadamu wengine!! cjui tuwaweke ktk kundi gani! mana hata tukiwaweka kwenye wanyama tutakuwa tunawakosea wanyama coz hata hao wanyama hawawezi kufanya mapenzi na mnyama asiyefanana naye. cjawahi ckia tembo kafanya mapenzi cjui ngono na twiga!! lakini binadamu tuliopewa akili na...
  8. V

    mume analala nje wiki nzima bila mawasiliano na mkewe

    Habari za wakati huu, Wapendwa kaka na dada zangu, ni mara ya kwanza ktk uwanja huu. wote salaamu! nina rafiki yangu ameolewa na wamebahatikkuwa na mtoto mmoja. mume wake ni dereva daladala. wanaishi dsm mtongani, mume anaendesha daladala za gongolamboto. lakini siku zote hulala nje eti...
  9. V

    Huyu dada yangu nimeshindwa kumwelewa kabisaa.

    hv huyo binamu yako! aliyemwambia wokovu ni kuachana na mume na kwenda kut****a na ndg ni nani? bila shaka huyo binamu yako katumwa na shetani! tena ana jini mahaba! ye mshenzi nini! kheee! eti sitaki mwanaume! kwa hiyo we ni nani? wanadamu bwana! mi nafikiri wanyama wamekuwa na nidhamu, akili...
  10. V

    Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

    vivulana ndo vimekuma vigego kwelikweli! ukikiambia mbona umri wako na wangu hauendani! utakisikia hata mtume alioa mwanamke aliyemzidi umri, kwa hy miaka ni suna tu! cku mbili tatu, beby samahani nirushie laki moja ntakurudishia. yani matatizo matupu
  11. V

    Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

    hakuna tofauti yeyote kati ya aliyeolewa na asiyeolewa, kwani hao waliye ktk ndoa wengi utulivu zero, mwanamke ana mume lkn nje ana wanaume zaidi ya watatu, na mume naye vichenchede kibao. na aliye single anaishi maisha mzr, anapambana na life, anasaka mshiko, anaishi bila ya stress. so hakuna...
  12. V

    Wanaume wenye sura hii ni wakimya lakini hufanya maamuzi yenye kuumiza…!

    dah! bro mi nina boyfrien wng yupo hvy, dah! cna hata amani moyoni. akichukia huwezi jua km kachukia. ni mwenye maamuzi ya ghafla. kuna cku nilimpigia cm just hi, nikackia, me and u its over!! ctaki kuwa na mwanamke tena!! nikamuliza whats wrng! akamambia nishaamua. ckumpigia tena cm. after 2...
  13. V

    Mapenzi gani haya ya kunisumbua

    huko tuendako msemo wa kijana taifa la kesho utabadilika na kuwa kijana ni matatizo ya kesho.
Back
Top Bottom