Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

Mwanamke hebu funguka uko upande upi...?

LOVED kwani wewe ni LESBIAN...?

walaaa
unajua wakati mwingine ukiwa unawaza haya ma ndoa mara zote,,unaishia kukosa msimamo.Unajikeep bize tu mwisho unajikuta hujui uko ndani au uko nje
 
Last edited by a moderator:
nina uhakika Mtambuzi wengi wa wanawake ni wajinga sana hasa ukifika suala la ndoa wanakuwa kama mbwa aliyemwona chatu sijui ni hofu ya aibu?hofu ya umaskini? Aibu kwa jamii?? Nawiwa kusema hivi'' kila mtu ana kitu kinachomuingiza kwenye ndoa aliyonayo''!!na hicho ndicho kitampa ugumu au urahisi wa maisha ie.utajiri,mapenzi ya kweli,tamaa,kulazimishwa ,etc

Yeah Nivea tunatofautiana sana vigezo wakati wa kuchagua mchumba, lakini nachelea kusema kwamba siku hizi swala la fedha na status limechukua nafasi kubwa sana kwa dada na kaka zetu walio wengi kufanya maamuzi...
Wenyewe siku hizi husema, "kuzaliwa katika familia masikini ni majaaliwa lakini kuoa au kuolewa katika familia masikini ni kujitakia..."

Kwa hiyo wanaume na wanawake wengi na wamejikuta wakijipachika sifa wasizo nazo ili kuwavutia wachumba wa status fulani na baada ya ndoa ndipo kila mmoja anajishtukia kuwa kauvaa mkenge na hapo ndipo kilio na kusaga meno hutokea....

Tuna safari ndefu sana kwa kweli.....
 
ndoa pia ina majira km yalivyo majira ya mwaka. kuna kipupwe, masika na kiangazi. sasa inategemea wewe majira yako yamemudu kwa muda gani, wakati mwingine unaweza kuingia kwenye ndoa ukakumbana na raha, raha, raha! ukadumu ktk kipindi cha rara maybe kwa miaka mitano. kikaja kipindi cha matatizo, karaha na mengine mengi, sasa hapo ndo pagumu kwani unatakiwa kuwa na uvumilivu wa hali ya juu! kwn huwezijua utadumu kwa muda gani na hali km hii. tena inaweza kuzidi miaka ya amani. so mi nafikiri ndoa ni watu wawili, kila moja hakushauriwa kuunganisha hisia zenu ni mioyo yenu imeamua. na itakapofikia mwisho moyo wako pia ukwambie toka. ikumbukwe kuwa kuna tabia za kuvumilika na zisizo vumilika, i mean tabia za asili binadamu tunazo ambazo ni ngumu kubadilika. sasa hapo ndipo inafikia mtu ku give up. ifike mahala enough is enough.
 
ila ukitazama kwa upande mwingine ukiolewa kwa nia ya kupata kitu fulani nadhani inaweza kuleta majuto..... Mfano unaolewa ili upate unafuu wa maisha....au unaolewa kwa kuwa mwanaume kakusaidia sana...hapa ina maana huna ule upendo wa kuvumilia. Au unaolewa na mwanaume ukidhani tabia yake fulani nitambadilisha...hapa huwa kuna kimbembe binadamu anabadilika akitaka ndo mwisho wa siku huishia majuto.
Bado wale wanaoolewa na wanaume pasipo kuwajua tabia zao kiundani. Lazima aje kujuta. Na la mwisho usiombe uolewe na mwanaume masikini mkastruggle mkazipata sasa yakalia mbwata huyo atabadilika na kukuletea majuto ya ajabu.
 
walaaa
unajua wakati mwingine ukiwa unawaza haya ma ndoa mara zote,,unaishia kukosa msimamo.Unajikeep bize tu mwisho unajikuta hujui uko ndani au uko nje

Kujikeep bize haina tofauti na kuitelekeza ndoa yako..
 
ndoa pia ina majira km yalivyo majira ya mwaka. kuna kipupwe, masika na kiangazi. sasa inategemea wewe majira yako yamemudu kwa muda gani, wakati mwingine unaweza kuingia kwenye ndoa ukakumbana na raha, raha, raha! ukadumu ktk kipindi cha rara maybe kwa miaka mitano. kikaja kipindi cha matatizo, karaha na mengine mengi, sasa hapo ndo pagumu kwani unatakiwa kuwa na uvumilivu wa hali ya juu! kwn huwezijua utadumu kwa muda gani na hali km hii. tena inaweza kuzidi miaka ya amani. so mi nafikiri ndoa ni watu wawili, kila moja hakushauriwa kuunganisha hisia zenu ni mioyo yenu imeamua. na itakapofikia mwisho moyo wako pia ukwambie toka. ikumbukwe kuwa kuna tabia za kuvumilika na zisizo vumilika, i mean tabia za asili binadamu tunazo ambazo ni ngumu kubadilika. sasa hapo ndipo inafikia mtu ku give up. ifike mahala enough is enough.

Kwa hiyo unakubaliana na mimi katika uzi huu:

https://www.jamiiforums.com/mahusia...imo-cha-ndoa-kuendelea-au-kuvunjika%85-2.html
 
I cant imagine committing mylife to a man, nina ndoto nyingi ni last year nimepandishwa salary na cheo,siko radhi kulose malengo yangu ya 20 years to come eti sababu ya marriage,am happy being single lady
 
I cant imagine committing mylife to a man, nina ndoto nyingi ni last year nimepandishwa salary na cheo,siko radhi kulose malengo yangu ya 20 years to come eti sababu ya marriage,am happy being single lady

Hahahaaa... Yaani huwa nacheka sana na comments zako bibie, hasa za mambo ya namna hii..!
 
Haya Mengine mapito but the basic principal is
"For this reason a man will leave his father and mother and be united to his wife, and the two will become one flesh."
 
Kuingia kwenye NDOA sio suala la kujaribu,Hivyo inashauriwa kabla ya kuoa ama kuolewa fikiri kwa makini na fanya maamuzi ya busara yanayoambatana na moyo wenye Upendo wa kweli wa kuingia kwenye NDOA na yule Umpendaye,shida kubwa iliyopo kwenye jamii yetu ya kizazi hiki ni uchaguzi unaofanywa na (wanaume na wanawake,Vijana na mabinti) unajielekeza sana kwenye mali au vitu vinavyomzunguka muowaji au muolewaji, HAKUNA UPENDO WALA UTII KWA MUME NA MKE.
 
Haha thats true gal watazame wanawake wengi walioko kwenye ndoa ama wanaolilia hizo ndoa most of them wako average in many things
Hahahaaa... Yaani huwa nacheka sana na comments zako bibie, hasa za mambo ya namna hii..!
 
jibu simple sana hapa kitu kikiwa kwa mwingine lazima ukitumbulie macho kwa sababu hujui changamoto zilizopo huko ndo maana wahenga walisema''kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoka masikioni.
 


tigo inachangia wanaume wengi kutoka nje ya ndoa zao!!
hakuna ndoa naw days,kuna ndoano tu!!

 
wanawake wengi walioko kwny ndoa wanavumilia matatizo, karaha, manyanyaso na mengine mengi eti tu kwasababu nikitoka nitaonekana nimeachika! matokeo yake magonjwa yote yatokanayo na mawazo yanamkutia hapo! yani ndo anafia hapo! hata kiapo kanisani kinasema" TUTAISHI KWA SHIDA NA RAHA, CYO KWA SHIDA NA KARAHA." sasa ya nini kupoteza muelekeo wa maisha! ni uvumilivu gani huo. tena mwanamke akiona mume anamzingua naye anatoka nje ya ndoa kugegedwa, nje anawanaume hta kumi! sasa ya nini ndoa! c ukae single, panga maisha yako. unaishi kwa uhuru no stress. pia wapo wanaume wanatamani kutoka kwny ndoa pia. mana kuna wanawake pasua kichwa wanawanyanyasa waume zao sana! kwny ndoa kumi yenye ahueni maybe moja tu. kila mtu analalamika, huyu mume wng anahivi yule mke wng anavile! basi tabu tupu! pambafu!!
 
::
Da! Hako ka dada kaliko peke yake nadhani kananisubiri mimi
Uncle Mtambuzi ni PM namba yake kasi zeekee kwao kwa sababu za kinywani huku moyoni kana umia.
=
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom