je hii ni kweli?

je hii ni kweli?

Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.

kama mkeo ni mzuri na huwezi kumlinganisha na yeyote huko nje sasa unafata nini huko nje? Kutoka nje ya ndoa si jambo la kawaida hata kidogo hata ujustify vipi, dhambi ni dhambi tu na itabaki kuwa hivyo
 
Last edited by a moderator:
ayanda, hayo unayosema hapo juu ni hisia zako. Kwani nani amekuambia mke wangu hatongozwi nje? Mimi mbona sijasema hayo na sina mashaka nayo kwani mke wangu ni bomba mno, yaani ni mzuri kupita na nampenda kwa kila kitu. Hivyo kutongozwa kwake mimi sishangai na nilishamweleza kama itatokea kaingiwa na shetani basi ajikinge. Kutongozwa ama kutoka nje ya ndoa tupende tusipende ni jambo la kawaida sana ila basi tu watu hawataki kuamini hivyo. Wewe mwanamme kama una hamu ya kutoka nje ya ndoa na mkeo pia anajisikia hivyo hivyo, tusidanganyane. Wanafilana mapadre na walokole sembuse sie?

toa uthibitisho na kauli yako ya mwisho
 
Last edited by a moderator:
dah! bro una hatari! ako kakaulikako kamapadre na walokole kakali!! unakandugu kako kapadre au kalokole kalishawahi kuvunja na kuharibu kale ka amri ya sita ya mungu? inamana hao ndg zako hawajui biblia imesema ole wao wafilao na wafilwao! na ndg zako wana hatari pia!!
 
Mbona kaka ubeti wa mziki fulani Hivi, Hebu jipange vyema...
 
kama mkeo ni mzuri na huwezi kumlinganisha na yeyote huko nje sasa unafata nini huko nje? Kutoka nje ya ndoa si jambo la kawaida hata kidogo hata ujustify vipi, dhambi ni dhambi tu na itabaki kuwa hivyo


Ngoja nikuulize, wewe unaweza kula chakula cha aina moja kila siku? Hata kama wewe ni mpenzi wa kula nyama au pilau lazima tu ipo siku utataka kula mchicha. Ni kweli kutoka nje ya ndoa si vizuri na ni dhambi kwa baadhi ya watu/madhehebu lakini hiki kitu ni jambo la kawaida sana. Chunguzeni mtaona.
 
mh..tutafika kweli kwa mtindo huu tz bila ukimwi haiwezekan..


Suala siyo Tanzania tu bali duniani kote hali ni hivi hivi. Sema tu hapa Afrika hii imekuwa kawaida mno. Sidhani kama kuna mwanamme asiye na nyumba ndogo hapa Dar na kama wapo ni wachache sana. Mfano ulio hai, waangalieni waheshimiwa wetu wabunge kule Dodoma au wenye pesa hapa Dar. Utakuta kila mtu anakajumba pembeni, anatoka nyumbani asubuhi kwenda kazini anarudi saa tano usiku kila siku na weekend haonekani. Jamani msibishe tu, chunguzeni mtaona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom