Sisi pia tunauza mayai ya kware kwa bei ya shilingi 20,000/= kwa trei. Tunahamasisha na kutoa elimu juu ya ufugaji bora na faida za ufugaji wa kware. Tunaonesha wenye nia ya kufuga namna ya kutengeneza mabanda bora na ya bei nafuu. Tunauza kware wa wiki moja shs. 4000/=, wa wiki mbili shs...
Bei zetu za kware ni nafuu sana. Tunaelekeza namna ya kujenga cages (mabanda) bure na kuwapa michoro ya hayo mabanda bila gharama (free of charge) piga simu 0715 284 187 kwa maelezo zaidi. Shamba la mfano tunalo maeneo ya Mbezi Luis na kuona ni bure. Karibuni kwa huduma ya kware na bidha zake.
Sisi ni wafugaji wa kware wa mayai ambao hutaga wiki sita tu baada ya kuanguliwa na huendelea kutaga kila siku kwa miezi 30. Kwa mwaka hutaga wastani wa mayai 280 hadi 300. Tunauza vifaranga (kware) wa wiki moja shs. 4000, Wiki mbili shs. 6000, na wiki nne shs. 8000. Tuko Mbezi Luis, wilaya ya...
Pata bata mzinga mkubwa wa kitoweo kwa shs. 150,000.00 na wa kufuga mwenye umri wa wiki 8 kwa shs. 35,000. Piga simu no 0715 284 187. Tuko Mbezi Luis Kinondoni - Dar es Salaam
Hapana shaka. Yako mengi ya kuelezea yatokanayo na faida za mazao ya kware. Ili tusiwachoshe wale ambao hawajawa tayari kwa huduma hii basi tunadhani kwa vile mawasiliano (0715 284 187) yametolewa anayehitaji maelezo hayo atafanya mawasiliano. Nakushukuru kwa changamoto.
Mayai ya kware ambayo ubura wake umekuwa ukielezwa kwa muda sasa yanapatikana kwetu kupitia simu no. 0715 284 187. Tuko Makabe/Mbezi Luisi. Vifaranga na hata kware wakubwa wanauzwa pia. Tray ya mayai ni shs. 20,000. Tunatoa elimu ya ufugaji wa kware na kuonyesha jinsi ya kufuga kwa kutumia...
Kware wa siku 7 tunao. Pia wa wiki 2, 3, na hata nne. Bei kwa siku saba ni shs. 6000 kila mmoja, wiki 2 shs. 8000 na wiki tatu hadi nne shs. 10,000. Mayai tray ni shs. 20,000 tu. Piga simu 0715 284 187. Tuko Makabe/Mbezi Luisi.
Ndugu zangu mimi nadhani tuangalie mbali zaidi. Sehemu ilipo ikulu yetu kwa sasa sio salama tena kwa mambo mengi. Ni tishio hata kwa sunami, mazingira machafu yatokanayo na uchafu uelekezwao baharini, shuguli za kibinadamu kama za uvuvi na kata uchomaji taka hasa za hospitali iliyoko jirani...
Kwa hili wote tuliathirika na hili la huu mtandao kutokuwepo hewani tukifungua mashtaka dhidi ya tiGO na kudai fidia kwa hasara tulizopata kutokana na bugudha hii nina hakika mtandao huu utafilisiwa na ubabaishaji wake utakuwa umefikia kikomo. TCRA mnatuambia nini katika hili. Tungependa kuona...
Mpango mzima wa kuwaibia Watanzania katika mradi huu wa uuzaji wa Uda Umebumburuka na hivyo ni vyema kwa hili wakanyanyua mikono kama ishara ya kusalimu amri. Tungewapa muda wa kusalimisha mapato haya yaliyolipwa serikalini kama tulivyofanya wakati wa sakata la EPA. Mzee akikaidi kuzisalimisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.