Dactari mmoja alisema kutembea kwa pikipiki mda mrefu kuna dhofisha nguvu za kiume, kwamba madereva bodaboda wapo kwenye hatari hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dactari mmoja alisema kutembea kwa pikipiki mda mrefu kuna dhofisha nguvu za kiume, kwamba madereva bodaboda wapo kwenye hatari hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hive karibuni ratizo hili lili nikumba pia, Fundi alinitaka nibadilishe fuelpump na plug, baa ya kubadilisha tatizo limeisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri wako, nipo Mkoa /Wilaya yenye baridi sana hapa Tz ingawa sijawahi washa nadhani sasa nimejua matumizi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.