Hapo kesi imefika mahali pake hasa, maana ndugu zangu huwa wanajielezea vizuri sana kwa upande wao, sasa kwa kibatala lazima wataomba poo. Issue ya kibatala kukubali kumsaidia kada wa ccm hiyo ni individual, haingiliani na mambo ya uccm au uchadema. So kibatala piga kazi kwa nguvu zote ili...
Maalim kamwe ulikubali wala kukubaliana na msaliti. Ulikubali tu ujue hadhi yako itakuwa imepotea kabisaa, uckubali kufanya mazungumzo yoyote na msaliti huyo. Kama ni kufutwa Chama bora kifutwe lakini sio ujishushe kwa mtu ambae ni msaliti. Chonde chonde. Huyo mwache ahangaike hivyo hivyo.
Saa nyingine kiki zinatafutwa kwa nguvu mno. Wewe umekikuta Chama kipo hapo kilipo fanya yako nawe tuone.,umeongezea kitu gani ktk uongozi wako. Kurukia rukia matamko ya watangulizi wako na kuyakosoa ilihali watu wote wanajua Nape alifanya nini kwa ajili ya Chama mpaka hapo kilipo, utaonekana...
Sasa kama mlishindwa kuhimili kichapo mlichopewa na kukimbia je utakilinda Chama chako kwa nguvu ipi? Nguvu nyingine utaitoa wapi? Mimi nilifikiri ulikuwa mkutano wa cuf kumbe walikuwa chadema? Sasa mlishindwaje kukilinda Chama chenu? Angalia mnavunjwa miguu, wakati aliewatuma katulia tuli!!
Mtoa mada yaani umeonyesha ni kiasi gani hujui ketenganisha kati masuala yanayo husu serikali, na masuala yanayohusu vyama. Umejianika kabisa kuwa wewe huna lolote uijuayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.