Lakin lile swali lako la separation of power uliuliza kwa ujasiri sana ila alikujibu kijanja kijanja ukabaki unaitikia uongo uongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naamin MUNGU yupo ila hii story ya Mungu na shetani kidogo inafikirisha kwamba Mungu atuuumbe af tukikosea atukabiz kwa shetan
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wadau,
Nilikuwa naomba msaada mwenye ujuzi na saloon za kike.
Yaani muundo wake, gharama zake, changamoto zake na hata faida zake na mengneyo kwa ujumla.
Aondoke mi ananiachia nani Sasa Kuna wakat lazima upambane kumrudisha uskubali aondoke kirahisi rahisi tu. Kumbuka mwanamke alieshika hisia zako.
Hapatikani kila wakati huwa anatokea Mara chache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.