Ni utoto hiyo hali itafikia kipindi utaiona ya kawaida hata mie nilikuwa kama wewe lakini kadiri nilivyokuwa nakabiliana na haya mambo nilishaona ya kawaida tu.nakumbuka zamani nilikuwa hata nikiona majeneza yanauzwa naweza kubadilisha njia
JF idumu forever hapana ndipo huwa nacheka.napunguza stress zangu.kifupi huwa najifunza mambo mengi sana kuliko mitandao yote ya kijamii hapa JF ndio home pa ukweli
daaaah kumbe Rombo Wanawake nje nje aisee.mleta mada hakujua kama watu wanaijua Wilaya yake kuliko hatari yeye.ndio maana naipenda sana JF Luna raha sana jamani daaaaah
Ni kweli inaboa sana na ukichunguza hizo mb 700 ni uongo ukitaka kujua download movie ya mb 700 kwa mfano ikifika Mb 498 wanatuma SMS hiyo ya umefikia kiwango cha mb 700 sasa huu si utapeli jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.