Nijuavyo mimi, ilikuwa kama una askari unafahamiana nae ukimpa laki na 30 leseni unapata class D, ukiwa unafahamiana na Trafiki leseni utapata, ukiwa unafahamiana na mfanyakazi wa TRA leseni utaletewa nyumbani. Kilichopandwa ndicho kinachotoa matunda sasa, sioni cha ajabu hapo.
Ukifika muda sahihi wa kujitambua na kujua unataka nin katika maisha yako yajayo, hutokaa kamwe uyakumbatie Mapenzi kuwa ndio kila kitu kiasi cha kushindwa kutoka kuiona Dunia kwa upana zaidi na Fursa zake. Heko kwako mleta uzi, kumdhuru mtu sio suluhu sahihi mara zote ingawa mara nyingine huwa...
Kiukweli tukikubali wanaume kila mmoja afunguke yake ya kunjunjana, wanawake mtatuona sie kama wanyama vile. Ni bas tu wengine huwa hatupendi kuzungumza yetu
Swala la nikuoe halafu kila mtu awe na simu yake binafsi halijawahi kuniingia kichwani, kuna nini humo mpaka kisionekane na mimi unaenivulia chupi daily?
Sio sumu ndugu, ujue haya maisha ya kutafuta huezi jua kesho nitadondokea wapi katika utafutaji, naona ni bora nikajizoelea maishs yote sababu naamin siku zote uswazi maishs yanafanana sehemu zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.