Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Kiutaratibu, ni lazima mtu ahudhurie mafunzo ya udereva, ajaribiwe na mamlaka husika ( Traffic) ndipo apewe leseni ya udereva.
Sasa hapa naona tunshindwa kuelewa.
Ilikuwaje madereva wakapata leseni halali bila viambata ( vyeti vya mafunzo) vyovyote ? Nani aliidhinisha leseni zitolewe na nani alitoa leseni hizo ?
Isile upande mmoja.
Sasa hapa naona tunshindwa kuelewa.
Ilikuwaje madereva wakapata leseni halali bila viambata ( vyeti vya mafunzo) vyovyote ? Nani aliidhinisha leseni zitolewe na nani alitoa leseni hizo ?
Isile upande mmoja.