Recent content by veda

  1. V

    Unaweza kuizungumziaje Picha hii??

    Hapo kaka lazma tutambue si kila mtu anaeunga ccm ajitambui
  2. V

    Nina ADA, CPA(T) na Masters in Accounting and Finance lakini sina kazi zaidi ya mwaka sasa!

    sorry let me look it in a differnt way, first, what was your target by so studying? secondly, by the level of education you have, you are not suppose to look for a job, you should be a job creater, lastly, it be very difficult for you to get a job conclusion, to all people who are studying they...
  3. V

    Ya Kandoro inatisha... Ajiuzia gari la TZS milioni 300 kwa milioni 2 tu!

    tuache ukawaida wa kuona mambo yakifanyika kipuuzi sisi tunaona kawida,tuamke kwani tukiwaacha waendelee na michezo michafu wanayoifanya mwisho wa siku wataaibika lakini kikubwa ni kwamba tutaaibika sote, tuamke kutoka kwenye usingizi wa kifo tulionao
  4. V

    Ya Kandoro inatisha... Ajiuzia gari la TZS milioni 300 kwa milioni 2 tu!

    policy hizi zimewekwa na watu katika mazingira tofauti, cha msingi ziwe halisia(realistic). kitu wanachofanya wasomi wengi wa dunia ya leo ni kutunga sera ambazo uegemea upande mmoja. cha msingi kila mtu mahali alipo awe watch dog, kwa faida yake binafsi na faida ya kizazi kichacho, tofauti na...
  5. V

    Nisaidieni nifanye biashara gani? Nina mtaji wa 3,000,000/=, nipo Himo-Moshi

    kaka naona wewe ni mtu ambaye ni vissionary, kwa hiyo akili ulotumia kupata pesa hiyo , akili hiyo hiyo ikuongoze kuanzisha biashara.
  6. V

    TBC Inachakachua Mpaka Taarifa za kiSerikali

    hapa hakuna shirika la umma ni shirika lililopo kwa maslai ya watu wachache
  7. V

    CHADEMA yadaiwa kumnunua Prof. Lipumba

    tunahitaji maprofesa wengi zaidi Safari pekee hatoshi kuamsha watanzania ambao bado wako kwenye usingizi wa pono,Chadema needs more Safari, hata kama ni kununua wanunue kwa faida ya watanzania wote
  8. V

    Tulikuwa bado tunamhitaji BENJAMIN MKAPA kama Raisi wetu kwa maeneleo yetu

    ni kweli kwa kuchechemea huku taifa letu linakopitia we still someone with a strong character like danger man, but what is gone is gone, we now need good governance for survival of our country so that we can be served from the state of death
  9. V

    Zitto, Mnyika wafichua upotoshaji bajeti ya Mkulo; Spika Makinda akiri, amtaka Mkulo arekebishe

    Big up Chadema Mnaonyesha ukomavu kwa kujua nafasi yenu na wajibu wenu kwa umma wa watanzania, tu nyuma yenu
  10. V

    Part Time Jobs in TANZANIA

    not every job as it sound to be can be a job for serious people
Back
Top Bottom