Jamani TBC hawajaanza leo ku-cut & paste information.. mnakumbuka ziara ya Pinda KAGERA? Walikuwa wakimwonyesha akihutubia but crowd ni ile ya kampeni za uchaguzi... kuna vipindi vingi TBC ni vya upotoshaji..niliwahi kuwaambia rafiki zangu kuwa TBC taifa linaweza kuwa kwenye vita ..kwenye habari zao wakaonyesha wakulima wa mpunga Mbeya,..nakumbuka kipindi raia wanauwa Arusha, Mara, Mwanza n.k TBC walikuwa wanaonyesha habari zingine kabisa..sasa unajiuliza ina maana hawa hawajui hata great news kwa Taifa sasa ni nini? TBC pia inaukabila sana..88% ni wanyakyusa..why? TIDO, your spirit will scratches TBC until her death...