Mlevi peke yake ndiyo huwa anaomba msamaha kila mara bila kosa. Utasikia tu “au ninakukosea ndugu yangu? Naomba unisamehe kama ninakukosea". Baada ya dakika mbili atarudia tena.
Kwa hiyo leo walivyompatia chakula ni kuwa wamevunja utaratibu wao ama wamefanya upendeleo?
Watu wenye vichwa vya mviringo mnakuwaga na akili chache sana.
Huu ni utoto wa hali ya juu. Kwa hiyo Mungu anafanya kazi na mapepo?
Jehanamu yako hiyo iko kwenye miliki ya Mungu au ya mapepo walio na vitengo vya kutesa?
Upuuzi kama huu alikuwa akihubiri mpuuzi mmoja Wa TAG alikuwa anajiita Askofu Emanuel Lazaro. Mahibiri yake yalikuwa yamejaa hadithi kama...
Kwanza kabisa jenga ukuta kuzunguka nyumba yako. Unaishi sehemu isiyo salama kabisa.
Pili huyo jamaa akafungue kesi ya wizi wa kutumia silaha. Shahidi utakuwa wewe na mwenyekiti wa kitongoji.
Kwanza kabisa jenga ukuta kuzungika nyumba yako kama unaimiliki wewe kweli maana hapo siyo salama...
Tafuta jiwe lenye uzito wa kilo 3 au 4. Chukua kamba uifunge kwenye korodani kisha ning'iniza jiwe hilo kwa dakika 10. Pumzika kwa dakika 5 kisha rudia mara 3 kila siku kabla ya kulala.
Nilisikia kwa sheikh mmoja kuwa ukifa ukiwa Muislamu na ukaenda mbinguni basi vinywaji ni vinne: maji, asali, maziwa na mvinyo. Ukinywa mvinyo ukalewa unaanza kupaa angani kama ndege (the same feeling wanapataga mateja). Na ikitokea ukaanguka basi utajikuta umeangukia kwa binti bikra unaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.