Lissu alipoomba mashahidi waitwe na mahakama alicheza kama Libasse. Kina Mnyika hawajaitwa na mahakama hivyo hata wasingekuja isingekuwa issue. Sasa hao walioitwa na mahakama wasipokuja siyo kwamba wamemmaliza Lissu bali watakuwa wameidharau mahakama.
Pia wakija lazima wakutane na Lissu na...
Uliwekewa maziwa badala ya ubongo? Yaani hata uliyoandika tu umeshasahau. Mimi nimekujibu kwenye "aswali ni yaleyale" hiyo habari ya siku 3 baki nayo wewe.
Asipoelewa tena basi sina msaada naye.
Sheria siyo kuongelea mambo mengi tofautitofauti ndio utashinda bali kusimama na jambo moja au machache yanayobebana na kuthibitishwa. Ukiwa na Mashahidi 10 wakaongea vitu tofauti ni upuuzi bora uwe na mashahidi 3 wanaoongea vitu vichache vinavyofanana.
Hakuna mtu ana utulivu wa kujibu maswali kama Heche. Lissu anaweza kupanic lakini siyo Heche. Fuatilia mahojiano yote hasa aliyofanya na Manara. Manara alikuwa anajitahidi sana kumtoa kwenye mstari ila Heche akawa na utulivu sana. Ndio maana mpaka leo Manara anakazania kutaka mdahalo na Heche...
Sasa hiyo ndiyo akili ya sheria achana na ile ya multiple choice mliyofundishwa watu wa serikali.
Anachofanya ni kuonesha muunganiko wa mashahidi wake. Wote wanazungumzia kitu kilekile kwa usahihi kabisa. Mashahidi wakiongelea vitu tofauti ina maana ushahidi wao hauna ushirikiano na haufai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.