Recent content by Vawulence

  1. Vawulence

    Unamuonaje mtu anayekuomba mara kadhaa msamaha hata ingawa hana makosa?

    Mlevi peke yake ndiyo huwa anaomba msamaha kila mara bila kosa. Utasikia tu “au ninakukosea ndugu yangu? Naomba unisamehe kama ninakukosea". Baada ya dakika mbili atarudia tena.
  2. Vawulence

    Magereza: Hakuna upendeleo katika huduma ya chakula kwa wafungwa na mahabusu

    Kwa hiyo leo walivyompatia chakula ni kuwa wamevunja utaratibu wao ama wamefanya upendeleo? Watu wenye vichwa vya mviringo mnakuwaga na akili chache sana.
  3. Vawulence

    Sio kwa ubaya, watakaotoka tarehe 9 Disemba wengi wao watarudi ganda. Tafadhali mwana JF usishindane na serikali

    Sitashangaa kama wewe ndio mwanasheria mkuu wa serikali umeandika huu upuuzi.
  4. Vawulence

    Live kutoka kuzimu!

    Peleka wehu wako uko
  5. Vawulence

    Live kutoka kuzimu!

    Toa upumbavu hapa. Hujajibu chochote nilichouliza.
  6. Vawulence

    Live kutoka kuzimu!

    Huu ni utoto wa hali ya juu. Kwa hiyo Mungu anafanya kazi na mapepo? Jehanamu yako hiyo iko kwenye miliki ya Mungu au ya mapepo walio na vitengo vya kutesa? Upuuzi kama huu alikuwa akihubiri mpuuzi mmoja Wa TAG alikuwa anajiita Askofu Emanuel Lazaro. Mahibiri yake yalikuwa yamejaa hadithi kama...
  7. Vawulence

    Mme wa mtu jana kayatimba milioni 5 zamtoka kizembe

    Kwanza kabisa jenga ukuta kuzunguka nyumba yako. Unaishi sehemu isiyo salama kabisa. Pili huyo jamaa akafungue kesi ya wizi wa kutumia silaha. Shahidi utakuwa wewe na mwenyekiti wa kitongoji. Kwanza kabisa jenga ukuta kuzungika nyumba yako kama unaimiliki wewe kweli maana hapo siyo salama...
  8. Vawulence

    Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?

    Kw Kwa Mkoa wa Kilimanjaro ukiwa Moshi mjini cheti cha kuzaliwa unapata ndani ya saa 2 au 3 top. Deed Poll inachukua saa 48 tu.
  9. Vawulence

    Watu wa kaskazini mwa Afrika wana ubinafsi sanaa acha niwaambie ndugu zangu

    Orlando wako ma Mnigeria Olisah Ndah
  10. Vawulence

    Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

    Kwa hiyo wewe unaweka nukta baada ya aya nzima na siyo baada ya sentensi?
  11. Vawulence

    Nahitaji msaada please kama kuna Dawa nisaidieni napata Msongo

    Tafuta jiwe lenye uzito wa kilo 3 au 4. Chukua kamba uifunge kwenye korodani kisha ning'iniza jiwe hilo kwa dakika 10. Pumzika kwa dakika 5 kisha rudia mara 3 kila siku kabla ya kulala.
  12. Vawulence

    Msaada: Nawezaje kupiga bao la kwanza baada ya nusu saa

    Kunywa K Vant kubwa lisaa limoja kabla ya game. ONYO: Baada ya game hautakumbuka chovhote.
  13. Vawulence

    Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

    Nilisikia kwa sheikh mmoja kuwa ukifa ukiwa Muislamu na ukaenda mbinguni basi vinywaji ni vinne: maji, asali, maziwa na mvinyo. Ukinywa mvinyo ukalewa unaanza kupaa angani kama ndege (the same feeling wanapataga mateja). Na ikitokea ukaanguka basi utajikuta umeangukia kwa binti bikra unaanza...
Back
Top Bottom