Recent content by Vawulence

  1. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Hapo "TORONTO" au kwa jina halisi Tabora kuna Waarabu kibao waliozaa na Wanyamwezi.
  2. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Unamuonaje mtu anayekuomba mara kadhaa msamaha hata ingawa hana makosa?

    Mlevi peke yake ndiyo huwa anaomba msamaha kila mara bila kosa. Utasikia tu “au ninakukosea ndugu yangu? Naomba unisamehe kama ninakukosea". Baada ya dakika mbili atarudia tena.
  3. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Magereza: Hakuna upendeleo katika huduma ya chakula kwa wafungwa na mahabusu

    Kwa hiyo leo walivyompatia chakula ni kuwa wamevunja utaratibu wao ama wamefanya upendeleo? Watu wenye vichwa vya mviringo mnakuwaga na akili chache sana.
  4. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Sipo tayari kuandamana tarehe 9 bila silaha ya moto, Bora nilale

    Waoga hufa mara mbili.
  5. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya, watakaotoka tarehe 9 Disemba wengi wao watarudi ganda. Tafadhali mwana JF usishindane na serikali

    Sitashangaa kama wewe ndio mwanasheria mkuu wa serikali umeandika huu upuuzi.
  6. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Live kutoka kuzimu!

    Peleka wehu wako uko
  7. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Live kutoka kuzimu!

    Toa upumbavu hapa. Hujajibu chochote nilichouliza.
  8. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Live kutoka kuzimu!

    Huu ni utoto wa hali ya juu. Kwa hiyo Mungu anafanya kazi na mapepo? Jehanamu yako hiyo iko kwenye miliki ya Mungu au ya mapepo walio na vitengo vya kutesa? Upuuzi kama huu alikuwa akihubiri mpuuzi mmoja Wa TAG alikuwa anajiita Askofu Emanuel Lazaro. Mahibiri yake yalikuwa yamejaa hadithi kama...
  9. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Mme wa mtu jana kayatimba milioni 5 zamtoka kizembe

    Kwanza kabisa jenga ukuta kuzunguka nyumba yako. Unaishi sehemu isiyo salama kabisa. Pili huyo jamaa akafungue kesi ya wizi wa kutumia silaha. Shahidi utakuwa wewe na mwenyekiti wa kitongoji. Kwanza kabisa jenga ukuta kuzungika nyumba yako kama unaimiliki wewe kweli maana hapo siyo salama...
  10. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?

    Kw Kwa Mkoa wa Kilimanjaro ukiwa Moshi mjini cheti cha kuzaliwa unapata ndani ya saa 2 au 3 top. Deed Poll inachukua saa 48 tu.
  11. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Watu wa kaskazini mwa Afrika wana ubinafsi sanaa acha niwaambie ndugu zangu

    Orlando wako ma Mnigeria Olisah Ndah
  12. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

    Kwa hiyo wewe unaweka nukta baada ya aya nzima na siyo baada ya sentensi?
  13. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada please kama kuna Dawa nisaidieni napata Msongo

    Mawe ni hayahaya tu
  14. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada please kama kuna Dawa nisaidieni napata Msongo

    Tafuta jiwe lenye uzito wa kilo 3 au 4. Chukua kamba uifunge kwenye korodani kisha ning'iniza jiwe hilo kwa dakika 10. Pumzika kwa dakika 5 kisha rudia mara 3 kila siku kabla ya kulala.
  15. Vawulence

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nawezaje kupiga bao la kwanza baada ya nusu saa

    Kunywa K Vant kubwa lisaa limoja kabla ya game. ONYO: Baada ya game hautakumbuka chovhote.
Back
Top Bottom