Recent content by Varbo

  1. Varbo

    JamiiForums Tanzania Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Moyo wangu umeumia sana kiukweli likitokea kundi la uasi dhidi ya serikali Mimi najiunga!
  2. Varbo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kupitia taarifa hii iliyotolewa na Jeshi la Polisi, itoshekusema kuwa vijana wa Gen Z wanachokitafuta watakipata

    Polisi bado wanashindwa kusema ukweli! Tatizo serikali inasimamia kwenye uongo tu! Hakuna haya kimoja kati ya hizo waandamanaji walisema watafanya
  3. Varbo

    JamiiForums Tanzania Tunatakiwa tusimame pamoja wananchi wote Tanzania bara kuirudisha Tanganyika

    Kutokana Na mabadiliko ya SIASA zetu na Muungano unavyokwenda ni wazi kabisa tunatakiwa tusimame pamoja wananchi wote Tanzania bara kuirudisha Tanganyika. Muundo wa Sasa inaonyesha ni jinsi gani wazanzibari wanaitumia Tanganyika kwa manufaa yao huku bara ikiwa hainufaiki moja kwa moja. Haya...
  4. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kosa gani au kitu gani mpenzi wako akifanya lazima umpige chini hata kama unampenda kiasi gani?

    Kuna kitu siwezi vumilia ni cheating yaani hata sms naacha!
  5. Varbo

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Scandinavia country

    Hadi sasa kuna DM tano wapo interested namba zinasoma wawili wanaishi Denmak wa tatu Sweden wakiwepo watanzania wa tatu! Guys JF haiishii Dsm!
  6. Varbo

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Scandinavia country

    Why
  7. Varbo

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Scandinavia country

    Guys rafiki yangu 42yrs( ME) Anatafuta mchumba kutoka nchi za Scandinavia Hasa hasa Sweden. Aliachana na mzungu wake Miaka miwili iliyopita na sasa anataka kupenda Tena! Anawatoto wawili age 10 and 13. Income yupo vzr!! Mwanamke awe 30-38 awe mwafrica kutoka EA.. DM kwa ambar yupo interest
  8. Varbo

    JamiiForums Tanzania Anahitaji mke

    Rafiki yangu anahitaji mke, anaishi Nairobi Kenya. Umri wake ni 40, mrefu, mweusi. Vigezo Umri 35-38, akiwa mwalimu itapendeza. Awe maji ya kunde, Mkristo na mtoto asizidi mmoja. Yeye ana mtoto mmoja, kazi yake ni Civil Engineer.
  9. Varbo

    JamiiForums Tanzania Daniel Chongolo: Siasa sio Uadui, fitina, majungu, ugomvi wala chuki

    kuamini kauli za mwanaccm ni sawa na kuamini binadamu hawaitaji maji kwenye maisha yao!!! ungekua sio uadui msingekua mnaumiza upinzani, msingekua mnabambikia watu kesi msingekua mnawaua wapinzani bila kosa mbowe huyo mmempa kesi ya uongo yaani kama kuna mwanaccm na polisi ataingia mbinguni ujue...
  10. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ya miaka 16 ipo hatarini kuvunjika kisa mtoto wa nje

    Nimepitia maoni ya watu hapa wengi wanaona kama mwanaume anatatizo au kipato hana! Sio kweli income ya rafiki ya gu ipo vzr tu na huyo mtoto hakusoma hata shule moja ya kayumba amekua bording Hadi anamaliza form six. Likizo tu Ndio anaenda kwa sister wake na pamoja na hayo familia yake ipo vzr...
  11. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ya miaka 16 ipo hatarini kuvunjika kisa mtoto wa nje

    Rafiki yangu alinihadithia mgogoro kwenye ndoa yake japo chanzo nilipata kukijua miaka mingi iliyopita! Wakati rafiki yangu akiwa na miaka 19 alipata mtoto na msichana wa mtaani dogo enzi hizo alikubali lkn kumbe yule dada alikua na kadi mbili za clinic. Baada ya raia kumtonya jamaa akasusa...
  12. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wanzangu, pesa ndio itakufanya kupata mke yeyote unayemtaka na hata kuwa nao kumi

    Nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa sana! Tutafute Hela, wanawake hawapendi mtu ambae hana Hela! Yaani wewe tafuta hela utakua na yoyote unaemtaka!
  13. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimpenda sana mpenzi wangu ila kanisaliti

    Naona unasubilia Meli AirPort!! Hivi wanaume au wavulana wengine hua Kweli mnauelewa kichwani! Hadi ukute mtu yupo kwenye sita kwa sita Ndio utaamini huyo ana mtu!? Wewe uliotoa hii post jipige kifua uambie moyo wako UACHE UFALA!
  14. Varbo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nakwenda kutambulishwa kama mchumba ukweni

    Sasa unakwenda kwao ili kuwaambia wewe Ndio kidume unamvua nguo mtoto wao au unaenda kupeleka kishika uchumba!? Au unaenda baada ya binti kupata mimba sielewi adhma yako nini
  15. Varbo

    JamiiForums Tanzania Kuna anayemuelewa Mtangazaji Maulid Kitenge na 'Interview' yake EFM akiwa na Gerald Hando?

    Mkataba wa miaka miwili uliisha na wasafi hawa kuongeza mungine tena akarudi alipokua maana angekua jobless zaidi ya kua balozi wa makampuni kupitia Instagram! Sio rahisi kumuajili mtu ambae hakai ofisini!
Back
Top Bottom