desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,282
- 5,452
Anapiga namba c na anatumia nguvu nyingi ila mwenye cash wanajitongozesha wenyeweUna wandinya makapuku pia, zile high class ugusi mkuu
Anapiga namba c na anatumia nguvu nyingi ila mwenye cash wanajitongozesha wenyeweUna wandinya makapuku pia, zile high class ugusi mkuu
Serikali imesema mchunge sana VITS zenuHuu ni upotofu wa fikra. Sasa tutafute pesa ili tugawe gawe hovyo?! Ndio maana MUNGU anafunga milango ya baraka kwa vijana wengi sababu anaona mara atakapoifungua na baraka zikamwagika basi mtatumia kipato kufanya ufuska na sio kuishi kwa mapenzi yake.
Mimi nilitegemea useme labda, wanaume tutafute pesa tufanyie service magari yetu, tuya upgrade na spare za kisasa au kuyapamba na kufunga mziki mzuri.
Uwoga wako tuu mkuu,ukiona demu katupia anadrive unamuogopa hata kutongoza .Una wandinya makapuku pia, zile high class ugusi mkuu
Na ndio ukweli hata C umempendelea anapiga TZA 😀😀Anapiga namba c na anatumia nguvu nyingi ila mwenye cash wanajitongozesha wenyewe
Huu ni upotofu wa fikra. Sasa tutafute pesa ili tugawe gawe hovyo?! Ndio maana MUNGU anafunga milango ya baraka kwa vijana wengi sababu anaona mara atakapoifungua na baraka zikamwagika basi mtatumia kipato kufanya ufuska na sio kuishi kwa mapenzi yake.
Mimi nilitegemea useme labda, wanaume tutafute pesa tufanyie service magari yetu, tuya upgrade na spare za kisasa au kuyapamba na kufunga mziki mzuri.
Amen my dadaNa wote tuseme ameeen!
Anamtafuta mwenye pesa mwingineUkiwa na pesa utampata unayempenda na zikiisha ataenda kwa anayempenda
Unatafuta mwanamke unayemtaka au atakaye kupenda na kukuheshimu katika hali zote.
Mwanamke akikupendea hela zikiisha then what next. All in all pesa ni muhimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anayekutaka kwasababu ya hela lazima atamtafuta mwanaume mwingine anayempenda kutoka moyoni.Kwako atafuata pesa kule atafuata mapenzi.
Mkuu,sema pesa itakuruhusu kula mwanamke unayemtaka ili sio kummiliki.Kumiliki mwanamke ni sanaa na kipaji kikubwa sana.Usione watu wanamiliki wanawake ukafikiri ni kazi rahisi au ni pesa