Mwanaume kuridhika kupokea mshahara wa 300k ni kujichimbia kaburi
Weka nauli, mahitaji kama chakula, mavazi, kodi, mke na watoto hapo mshahara wote unaisha na madeni juu
familia haitapata milo mitatu na wewe hutokaa uongeze shati wala kiatu ni mateso makali sana.
Habari zenu wakuu.
Nina gari aina ya Toyota i.s.t nataka niifanyie biashara ya bolt hapa mjini kama kazi ya ziada.
Swali langu ni kwamba, naweza kufanya biashara ya bolt kwa kutumia gari yenye plate number ya njano? Kama nilivyosema ni kazi ya ziada tu nikiwa free.
Kama itawezekana kuendesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.