Recent content by vanus

  1. vanus

    Uliwahi kupitia manyanyaso gani ulipoajiriwa private ?

    Mwanaume kuridhika kupokea mshahara wa 300k ni kujichimbia kaburi Weka nauli, mahitaji kama chakula, mavazi, kodi, mke na watoto hapo mshahara wote unaisha na madeni juu familia haitapata milo mitatu na wewe hutokaa uongeze shati wala kiatu ni mateso makali sana.
  2. vanus

    Wanawake wa Kahama bwana

    Zee la vipodozi
  3. vanus

    Biashara ya bolt jijini Dar es Salaam

    Bolt wanahitaji kwanza uwe na psv, hapo lazima gari iwe plate number nyeupe na ina vipengele flani hivi,
  4. vanus

    Biashara ya bolt jijini Dar es Salaam

    Habari zenu wakuu. Nina gari aina ya Toyota i.s.t nataka niifanyie biashara ya bolt hapa mjini kama kazi ya ziada. Swali langu ni kwamba, naweza kufanya biashara ya bolt kwa kutumia gari yenye plate number ya njano? Kama nilivyosema ni kazi ya ziada tu nikiwa free. Kama itawezekana kuendesha...
  5. vanus

    Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Fungua hata thread mpya, watafutaji wa vyumba na nyumba ni wengi sana na wanasumbuka sana, ukifanya hivyo itakuwa msaada mkubwa
  6. vanus

    Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Una master ya 100k mapipa?
  7. vanus

    PostGE2025 Vilio vitaanza vya watawala muda sio mrefu kuanzia kesho

    Hahaha Nitafutie chumba na mimi hapo mkuu
  8. vanus

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Ndoa ni scam, na kuna manyumbu bado wanataka michango yetu ya harusi
  9. vanus

    Ukiamini Demu itakula kwako Bro

    Kwa asilimia 2 ya kipato changu naona huyu demu atakula 7,500/= hii itafaa wakuu?
Back
Top Bottom