Recent content by vanmedy

  1. vanmedy

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Hizo drama ni kabla ya ndoa, ukioa huyo jiandae na heart attck
  2. vanmedy

    Hivi ni sahihi kwa binamu aliyeolewa kunikopa hela kila mara?

    "Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba"
  3. vanmedy

    Pamoja na ufaulu kupanda, shule za kata Dar hali ni mbaya, Division Zero ni nyingi sana, Afisa Elimu aondolewe

    Shule imerundikiwa watoto 634 na unataka wafaulu wote!, tafuta private school au hata government school iliyofanya vizuri ikiwa na idadi kubwa ya wahitimu kama hao
  4. vanmedy

    Msada taa ya nyuma

    hebu peruzi kwa hawa jamaa wanaitwa smgautostyling https://www.instagram.com/smgautostyling?igsh=MTA4ZnFhbnJwaTQ4
  5. vanmedy

    Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

    Hata refa wa mechi alibeti kuwa arsenal anafungwa
  6. vanmedy

    Kudaiwa maegesho yasiyo halali

    Vijana wanapewa target kubwa ya makusanyo, matokeo yake wanaumiza watu sana ili kufikia malengo. Kuna unfair ticketing, yani ni kama wizi uliohalalishwa. Halafu ni majeuri na wako hostile sana.. kwa sasa ni kawaida kuja mtaani nyumbani kukuandikia hata mahala ambapo si hifadhi ya barabara...
  7. vanmedy

    Naomba ushauri, nataka kuwekeza kwenye taxi mtandao

    Mkuu jiwinde upate hata milioni 5 utafute vits old model iliyo katika hali nzuri, swala la routes za garage lisiwe changamoto kwako labda kwa services za kawaida, ubaki kupambana na routes za barabarani na wateja wako na mikono ya matrafiki
  8. vanmedy

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Anza kusoma Open University.. Masters ya kitu kingine haitakuongezea kitu kwenye ajira na huwa wanabania wakijua unataka kudiverge kutoka kwenye msingi wako wa elimu ya shahada, Kwa vile tayari una shahada/degree hawatakuruhusu kwenda kusomea ngazi hiyohiyo ya elimu watakupiga mizengwe...
  9. vanmedy

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Achukue huu ushauri hasa hapo kwenye kuimega safari vipande viwili, na kwa kituo atakachoamua kulala (nashauri dodoma/morogoro kokote ambapo ataliwahi giza kulingana na mwendo wake) ASUBUHI KABLA HAJAWASHA GARI KITU CHA KWANZA AKAGUE REJETA (COOLANT/AU KAMA MZEE WA MAJI) aangalie kama imepungua...
  10. vanmedy

    Kumbuka Yanga haikuomba huruma za TFF kuhairishwa michezo yake

    Kutoka mtaa wa twiga hadi uwanja wa taifa unatumia siku ngapi kufika!? Je patahitaji hata uzoee mazingira au hali ya hewa tofauti!? Ushabiki upofu
  11. vanmedy

    Msaada: Ukipewa Mkopo wa kusoma Diploma ukahitimu. Je, utapewa na mkopo wa kusoma Degree (Elimu ya Juu)?

    Usiongee usichokijua.. tena uache kupotosha... tupo tuliomaliza kulipa miaka ya nyuma huko na hata hiyo tuliyolipa tulishawekewa cha juu nje ya kiasi kilichokopeshwa na mwaka jana tukabandikwa madeni mapya makubwa ambayo hayana justification yenye logic yoyote.. KAMA HAUJAFIKWA USIPOTOSHE...
  12. vanmedy

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Bora huko, na akumbuke kuna possibility ya kuhama
  13. vanmedy

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Abadili aende huo uafisa usafiri bila kujiuliza mara mbili
Back
Top Bottom