Shule imerundikiwa watoto 634 na unataka wafaulu wote!, tafuta private school au hata government school iliyofanya vizuri ikiwa na idadi kubwa ya wahitimu kama hao
Vijana wanapewa target kubwa ya makusanyo, matokeo yake wanaumiza watu sana ili kufikia malengo. Kuna unfair ticketing, yani ni kama wizi uliohalalishwa. Halafu ni majeuri na wako hostile sana.. kwa sasa ni kawaida kuja mtaani nyumbani kukuandikia hata mahala ambapo si hifadhi ya barabara...
Mkuu jiwinde upate hata milioni 5 utafute vits old model iliyo katika hali nzuri, swala la routes za garage lisiwe changamoto kwako labda kwa services za kawaida, ubaki kupambana na routes za barabarani na wateja wako na mikono ya matrafiki
Anza kusoma Open University..
Masters ya kitu kingine haitakuongezea kitu kwenye ajira na huwa wanabania wakijua unataka kudiverge kutoka kwenye msingi wako wa elimu ya shahada,
Kwa vile tayari una shahada/degree hawatakuruhusu kwenda kusomea ngazi hiyohiyo ya elimu watakupiga mizengwe...
Achukue huu ushauri hasa hapo kwenye kuimega safari vipande viwili, na kwa kituo atakachoamua kulala (nashauri dodoma/morogoro kokote ambapo ataliwahi giza kulingana na mwendo wake) ASUBUHI KABLA HAJAWASHA GARI KITU CHA KWANZA AKAGUE REJETA (COOLANT/AU KAMA MZEE WA MAJI) aangalie kama imepungua...
Usiongee usichokijua.. tena uache kupotosha... tupo tuliomaliza kulipa miaka ya nyuma huko na hata hiyo tuliyolipa tulishawekewa cha juu nje ya kiasi kilichokopeshwa na mwaka jana tukabandikwa madeni mapya makubwa ambayo hayana justification yenye logic yoyote..
KAMA HAUJAFIKWA USIPOTOSHE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.