Recent content by van the man

  1. V

    Hii ya Maalim Seif nimeielewa, ila hii ya Lubuva mh!

    it's a joke.Ila wao ndio wenye maamuzi. there's nothing u can do.
  2. V

    Ufisadi wa zaidi ya Sh. bilioni 600, Watanzania tupo kimya tu?

    vichwa vimejaa matusi tu. nyumbani matusi, mama anamtukana mtoto wake mtoto anamtukana mzazi, shulen matusi. kazini matusi,kwenye daladala matusi,kwenye mpira bungeni kanisani msikitini,kila kona matusi. ht sijui Mungu katuumbaje sisi.
  3. V

    Kitu gani kinawafanya viongozi wa CHADEMA wapende kwenda jela kila siku??

    Siku watakapoapishwa kuongoza TZ ndio utaelewa. Kwa sasa ufaham wako umefunikwa. Ungekuwa mfuatiliaji wa History ungeelewa vizuri sana. Hiyo ndio njia ya wote wanaopigania mabadiliko. Mabadiliko huwa yana gharama kubwa.
  4. V

    Jumatatu wapenzi wa Zitto tujitokeze kwa wingi

    vyovyote vile zzk ana roho ya uasi. mtu anayetaka kufanya mapinduzi ndani ya chama, akipewa uwezo atawaza kupindua nchi. nashangaa mtu anayejiita mfuasi wake. hapo ni ukabila, udini, njaa na ujinga mwingine. usomi hauondoi upumbavu.
  5. V

    TBC Mikocheni imekuwa branded na StarTimes

    kwa utendaji wao walipaswa kupaka rangi ya kijani tujue moja kwamba ni tawi la ccm
  6. V

    Mtoto: Nilipigwa risasi na polisi

    Damu ya binadamu ni tofauti na ya mnyama, bila kutubu na kuacha huu uovu wahusika wote damu hii inayomwagika katika ardhi yetu itawanenea mabaya mbele za Mungu Mwenye haki naye atawalipa sawasawa na uovu mnaoufanya hasa hao waliopewa dhamana ya kuwalinda watu na sasa ndio wanaowaangamiza. Kama...
  7. V

    Live Updates: Press Conference CHADEMA Makao Makuu Leo tarehe 18/06/2013

    Haya ni majanga makubwa! Watanzania wenzetu wamekufa kwa mabomu, ila cha ajabu baadhi ya Watanzania wakiwemo viongozi wnatoa kauli za kejeli kiasi hiki. Hii kali. Tz kila kitu siasa hadi misiba siasa.
  8. V

    Profesa Jay Kuitikisa Dar Jumapili Hii, Kushiriki Uzinduzi wa Kampeni Mianzini...!!!

    Wabongofleva na wabongomovie, wape heshima yanayostahili kama binadamu. na kama unaidharau kazi yao jiulize kama hujawahi kusikiliza muziki au kuangalia movie na. Wanaweza kuwa wenye mawazo mazuri ya kulikomboa taifa kuliko ww. Hata wamachinga, wapiga debe, wasukuma mikokoteni, mama nitilie na...
  9. V

    Siri za kifo cha Kamanda Barlow zavuja, kamanda wa Polisi Muna atajwa! Taarifa zamfikia Pinda

    Ndiko tulikofikia! Cha kusikitisha wahusika watamwagiwa pongezi nyingi.
  10. V

    Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

    Wangeanzisha TV kwa wakati huu ingekuwa poa sana kwa sasa kwa mazingira ya TZ, Television ndio chombo chenye nguvu kuliko radio hasa tunapoelekea uchaguzi 2015. Radio ndio ingekuja kama hatua ya pili.
  11. V

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Huna sababu za kujieleza , weakness yake ipo wazi kwa kila mwenye macho ya kuona. Bajeti inasomwa kila mwaka kwa sababu tu inatakiwa isomwe lakini kila wakati wanaoleta bajeti huonekana kama wanaotimiza tu wajibu kwamba bajeti imesomwa. Kwa nini ndani ya bajeti zetu tusionyeshe mipango yetu ya...
Back
Top Bottom