Recent content by Van Halen

  1. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuila akiwa siku zake?

    Niliwahi do na mdada flani, mpaka tunamaliza nakuta shuka zimejaa damu. Naye pia alishangaa coz haikuwa katika siku zake. Nakumbuka ilikuwa ni ghetto kwangu, akatoa shuka zote muda huo huo akanifulia na kufanya usafi. Baada ya hapo, hatukuonana kama miaka mitano, coz nilisafiri kikazi mkoa...
  2. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

    Nafiki Mbona solution ni rahisi tu? Kusanya ushahidi, kampelekee mke wa jamaa. Halafu tulia pembeni uangalie moto unavyowaka. Wala usikimbilie kumwacha kwanza, mkaange kisawasawa malaya huyo. And usisahau kutafuta kazi ujitegemee.
  3. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Mkwe wangu ananivunjia heshima

    Yaani nyumbani kwangu, mama mkwe alete mwanaume halafu mimi nikalale guest house? Huu ukichaa siwezi fanya. Kama ameshindwa kuniheshimu, na mimi sina haja ya heshima. Ningefukuza usiku huo huo, kama ndoa na ife. Pumbavu zake.
  4. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii hali inaniumiza sana

    Piga na chini hiyo Ng'ombe. Au una uhakika hamtakosana tena? Coz kama mlikosana akaenda kuliwa na mwengine, nini kitamzuia kwenda tena kuliwa pindi mlikosana tena?
  5. Van Halen

    JamiiForums Tanzania Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

    Haya mambo ya kulaza wageni kwenye vyumba wanavyolala watoto, ni moja ya vitu ambavyo siwezi kuja kufanya kwa kweli.
  6. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

    Ndoa hizi zina siri kubwa, aisee
  7. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

    Nimeiona huko Twitter, inasemekana Katibu wa Kanisa la Mchungaji Masanja amejiua na kuacha waraka mrefu unaoeleza kuwa, alikuwa na mahusiano na mke wa Mchungaji wake Masanja, na kwamba penzi hilo limeelekea kufa, hivyo Katibu ameshindwa kuvumilia.
  8. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Umefanya maamuzi sahihi. Lea watoto wako, achana naye akaendelee kupitiwa na huyo shetani aliyemzalisha.
  9. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa anamfuatilia mke wangu

    Tafuta wahuni, mumteke mkamle ndogo, hatarudi tena huyo
  10. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Mkwe amenishangaza! Anamwambia mke wangu (Mwanaye) ataachana na mimi kama yeye alivyoachana na Baba Mkwe

    Usitie tena mguu wako nyumbani kwa huyo mama mwanga.
  11. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

    We ni mwanaume, lakini una moyo wa kike. Mtu ambaye ametaka mwenyewe kuachana na wewe, na kwenda kwa mwingine, ambaye pamoja na manyanyaso yote lakini bado hataki kuondoka kwenye mahusiano hayo, then wewe ndio umuonee huruma kuliko yeye mwenyewe kujionea huruma? Nikwambie tu, hiyo ni difence...
  12. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya ndoa anayo pitia ndugu yangu ni mateso, je amelogwa?

    You are the best, mkuu. Bonge la bajeti
  13. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake niliokutana nao. Based on a True Story

    Touché [emoji848]
  14. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanaume huwa mnafikiria nini?

    [emoji6][emoji6][emoji28][emoji28]
  15. Van Halen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanaume huwa mnafikiria nini?

    Mbona hata wanawake wapo wa dizaini hiyo? Ana mume na watoto, but kutwa anadonyolewa na mabodaboda, hata mimi huwa najiuliza sana [emoji848]
Back
Top Bottom