Mkuu najua,ila unajua tangu nipewe taarifa najaribu kuignore ila kama linazidi kusogea mbele zaidi.Natamani kupotezea ila ndo kama linazidi kuzama na kuniumizaHayo mambo hayakuhusu unajipa mizigo mwenyewe usikute hata yeye hakuwazi
Anayekuhusu Ni mwanao huyo ndio ndugu yako wa damu
Acha kimbelembele
You may be right.But why do I feel obligated.Is it because she left for another man?How can I get over that?It is not about me being perfect it is about her info affecting me and how to deal with that.Mtu anatumia kilicho shindikana wakati wake kwa matatizo ayapatayo hasimu wake leo kwa mwingine...
Ni kukoswa akili tu..
Wewe unadhani ndio the best person on this world sababu tu huyo aliekuacha anapata matatizo sasa hivi?
Ungekua the best kama unavyojifaragua hapa huyo mwanamke asingekuacha to begin with...
Kuna sababu kwanini alikuacha,na funny enough huenda ikawa sababu tofauti kabisa na hii uliyotoa hapa wewe,maana hii ni wewe umeona kwa macho yako ila muhusika huenda akawa na other reasons contrary to wewe!
Acheni kujiona wa maana sababu fulani aliekukataa anapitia mitihani yake....no,you are not,you are just lame ass motherfvcker like the rest of all of us!
She is your EX dude!! and she chose it.EAsily said than done.How can Let it go if it keeps poping up like a pending business
?
The truth is sitaki kujihusisha but the battle within me is getting serious and it is affecting me.SO How do I get over that?Una mwaswali ya kitoto kichwani mwako, kuwa unaumia unajiuliza je nampenda so what kama unampenda unatuulizaje sisi hayo maswali? , listen brother unataka kumtoa kwenye mahusiano yake umpeleke wapi kwa mfano wakati una mchumba tayari pia,