Sio huko tu serikali iliyo seriously pia itupie jicho kwa chuo cha usafirishaji pia yaani NIT found only mabibo dsm tunashindwa wa mikoani kujiendeleza
Nakuunga mkono 1000% mtu wangu usemalo hata mm latoka rohoni kwa CHAGUO hilo la mungu na LUKUVI Mungu amjalie MAGUFULI awe Wazir wake mkuu. CCM CHAKAVU CDM CHAMA LKN RAIS MAGUFULI NA LOWASA FISI NO MORE
Mishahara mdogo kwa elimu gani ulokuwa nayo?? Kama msing komaa na elimu sasa sio Mishahara midogo lia na haki zingine hapo juu kama alivyoandika mtaalam sio Mishahara midogo kwa elimu ya msing au uchumi gani
Kwani kidogo mm c. Mjinga kiasi gani na sisahau mapema kiasi hicho ka kichwa cha mwendawazimu yaan vjana tunakuwa kama mwendo wa kuku aliyekatwa shingo nakuachwA road!!?? Mboe na Mbatia na Watu weng wa kaskazni wakiongozwa na Mboe iko wazi wanataka kutimiza dhamira za mioyo yao tu kwamba mtu wa...
Lowassa Fisi wa Tanzania wenzangu madaraka bila mipaka yanalevya chapachapa iko wazi kabisa. Mm ni kjana mwenzenu ninayependa sana madiliko lkn kwa Lowassa Fisi bado bado sana tungesubiri kina Mnyika wasogee sogee huu ulikuwa mwaka wa msaliti Zzitto CDM
Lowassa Fisi Lipumba Prof Pumba mnafiki CCM bado Imara japo pressure so much Ukawa kaz kwenu vjana wapenda mageuz nyuma yenu Wasomi nusu Ukawa nusu CCM Wafanya kaz hawatabiriki Wakukima wana ajenda za siri Majesh tulinde mipaka na amani Mungu haki Sawa kwa wote MAGUFULI rais Wazir mkuu Lukuvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.