Recent content by valet de chambre

  1. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Mkuu wa shin bet
  2. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys kufungwa baada ya Siasa na Presha kuingizwa!

    Nimeiona muda huu TEAM GUNDU idiot yametua . Yaani wamewatia gundu madogo
  3. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Nikikumbuka kiburi cha Nebuchadnezar the king of babylon......
  4. valet de chambre

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba, baada ya Mangungu, mchagueni Joseph Rwegasira (Jayrutty) kuwa Mwenyekiti wa klabu yenu

    HIVI KADI ZA WANACHAMA ZISHAANZA KUTOLEWA? NGUNGU BOY ALISEMA KADI YA KWANZA ITATOKA TAREHE 27 MACHI 2026. TUJUZENI
  5. valet de chambre

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je wanaoitwa wafadhili wa Simba na Yanga ni Matapeli? Angalia zawadi walizopewa Yanga baada ya kushinda Ubingwa wa East and central Africa 1993

    Mkuu, mimi World Cup 94 niliwenda kuangalia kwa mshikaji wangu sinza wakati nakaa ukonga. TV nchi 14. Ilikuwa dili.
  6. valet de chambre

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya hatarini kupoteza Haki ya kuandaa AFCON 2027 kwa kushinwa kulipa ada ya uandaaji

    Kenya si wanasema ni power house ya uchumi ni East Africa????? Imekuaje?
  7. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Marekani wasema tena 'hawako tayari' kusindikiza meli za mafuta katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Merikani na washirika wake nasikia wanajadili kujenga mfereji kama wa Suez ili ku bypass Hormuz. Kama kweli huu ujenzi itakuwa very complex na utachukua muda mrefu.
  8. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Rockcity Mall,kila mtu ana furaha

    Pichaaaa, pichaaa😀
  9. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara

    Mzee "imemtachi" tutakupelekea JAB sasa hivi. ahahahahaha
  10. valet de chambre

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naona kama Kombe La Dunia la mwaka huu halina 'mzuka'. Ni mimi peke yangu?

    Yote yamesababishwa na babu Trump. Baadhi ya nchi za ulaya zimetishia kujitoa hivyo mvuto um Yote kayataka Trump. Kuna nchi zinataka kujitoa km Spain
  11. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Chawa Philosopy: Serikali Awamu ya 6 inaweza kutoa tamko la kupiga marufuku kuwashangilia au kuwaenzi wastaafu wenye utumishi uliotukuka!

    Mkuu, mimi kuna jamaa yangu Mlutheri kanambia wakati wa jumuia pale inapotajwa "sala kwa viongozi wa nchi" anamute kimya hawaombei...
  12. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu | Shahidi wa Siri (P6): Lissu alisema tunakwenda kuvuruga uchaguzi na kukinukisha

    Leo magereza waje hotpot kabisaaà hatutaki mchezo
  13. valet de chambre

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkuu wa nchi anajificha (katua Private Aiport huko Dubai) ndege ATC B737 with registration number 5H-TCQ. Flight number TC 4401

    Hata huko kwenye mkutano wa AU woooote wanamuona ni nuisance.
Back
Top Bottom