Bvr itawaokoa maana leo niko mkoani mwanza mtaa wa nyangungulu kata ya ilemela wana inchi wanalalamika majinayao hayaonekan yamebaki kwa jaji lubuva swali anayapeleka wa?.
Haya mahaka yetu haya nayo mmh!. Wanafungwa weengine tu.lakini walio iba pesa za uma hawafungwi.wanagoma hata kuhojiwa kwa nini?. Kisingizio cha kijinga kabisa eti kunazuio la .............jibu ulichoulizwa yaani ninahasla.subili kidogo nije.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.