kwa akili za kawaida mtu akivaa hijab halafu akawa anasoma taarifa ya habari au kipindi kingine chochote kwwnye television unadhani hyo taarifa haitatazamwa na watazamaji au hicho kipindi hakitatazamwa na watazamaji ?
kwani hijabu ni vazi la kidin au vazi la stara ?ikiwa ni vazi la kidin ni mtazamo wa mtu na uelewa wa mtu ukweli hijab ni vazi la stara tena kwa mwanamke tbc waangalie upya wasikurupuke mbona huko kunapotungw a sheria wabunge wengi wa kike wanajistiri kw a mavazi hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.