Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,656
- 37,821
Wanandugu nimepokea hii msg imenishtua sana kutoka kipindi cha jahazi kupitia Arnold Kayanda, msikilize sasa anaelezea clouds fm
""kwetu sie wazanzibar ushoga sio tatizo ati(usipaniki hii sentensi haijakamilika ) sikiliza jahazi tuimalizie yalllahh? Kweli ndugu yetu ni muungwana kweli kuwaita wenzetu majina haya? Tunaamsikiliza sheni anapokataa kamwe aliotaruhusiwa Zanzibar.
""kwetu sie wazanzibar ushoga sio tatizo ati(usipaniki hii sentensi haijakamilika ) sikiliza jahazi tuimalizie yalllahh? Kweli ndugu yetu ni muungwana kweli kuwaita wenzetu majina haya? Tunaamsikiliza sheni anapokataa kamwe aliotaruhusiwa Zanzibar.