Ndio kwanza matokeo yenu yametoka. Pia wa Shahada hata matokeo yao hayajatoka vyuoni, pia wengine wafanye Sup kisha Graduation mwezi wa 11. HIVYO TEGEMEA KUANZIA JANUARY mwakani.
Nashukuru kwa kupata sitahiki zetu walimu bila bughuza. Mishahara yote tumepewa. JAMANI TUSIKARIRI, Eti government works on papers, kwani Haijui kama kuwa kundi fulani linadai au litadai. Kwanin kuna local government?.
Binafsi simpendi huyu mtu ni laghai wa maendeleo wilayani nyasa. Yaani anajiita YESU WA WANYASA. Kwakweli hafai kuwa kioo cha jamii, yuko radhi apite vijiwe agawe laki 5 vijana wavuta bangi wagawane kuliko kuchangia hela ya dawa hospitalini. Yuko tayari ajenge pub na bar za vichochoroni kuliko...
Hela ipo kaka. Halafu walimu wazoefu wanapinga sana mapinduzi ya kimfumo mpya wa malipo, na muda wote wao ni kukatisha tamaa. Mara watakwambia sisi zamani tulikaa miezi 6 bila mshahara, mara hiki na kile. Sasa hata waziri Kawambwa kwamba hadi 31/6/2014 serikali haitakuwa na deni toka kwa walimu...
Imeripotiwa kwamba Mbunge wa Nyasa, Mh.John Komba anakopa hela katika mfuko wa jamii wa LAPF kwaajili ya NYASA FOUNDATION.
Lakini cha ajabu hakuna ofisi ya Nyasa Foundation, viongozi wake hawajulikani. Wanachangisha fedha nyingi halafu maendeleo Nyasa ni duni.
JE WILAYA YA NYASA NI KISIMA...
Nimepata habari za kuaminika toka kwa DEO mmoja mkoani RUVUMA kwamba Walimu wapya wote waliokosa Mshahara mwezi Aprili, watapewa Dabo mwezi huu yaani Mshahara wa mwezi Aprili na Mei. Vipi walimu wenzangu wa Halmashauri nyingine mnataharifa zozote juu ya hili?
Baki Nyasa ndugu, kwani haina matatizo ya ulipaji fedha. Si umeona mmepewa wote mishahara na hela za kujikimu siku 7 siku mliyofika tu. Hakika hata madaraja yatapanda kwa uharaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.