Recent content by V101

  1. V

    Kukanusha taarifa kuhusu tangazo la ajira serikalini

    Serikali ingeangalia utaratibu mzuri wa kuendelea na zoezi hili la uhakiki wa wafanyakazi hewa huku wakiendelea na taratibu za kuajiri, mtaani kumekuwa kugumu mno tunaishi bila ya matumaini. Tunaomba serikali yetu sikivu itusikie pia katika hili.
  2. V

    Waraka wa ajira umetoka?

    Hakuna jipya
  3. V

    Fahamu ukweli kuhusu kuzimu na mbinguni

    Kuzimu kuna moto pia na si makazi ya Shetani na mapepo tu bali ni sehemu ambayo roho zote zilizokufa katika dhambi hufikia. Hapa ni sehemu ya mateso Shetani huzitesa roho zote zilizokufa katika dhambi kabla haijaja ile siku ya hukumu aliyoiweka Mungu. Katika siku hiyo Shetani na pepo wote pamoja...
  4. V

    Fahamu ukweli kuhusu kuzimu na mbinguni

    ACHA UVIVU , FUNGUA USOME
  5. V

    Fahamu ukweli kuhusu kuzimu na mbinguni

    Fungua usome pdf file hapo chini
  6. V

    Hawa wanaotuomba pesa kutuita kwenye interview ni utapeli, soma ndani

    Hawa watu Mungu atawalaani, watu wako mtaani kazi hawana na bado wanataka kuwatapeli. Tuwe makini matapeli wa kazi wamekuwa wengi mno.
  7. V

    TAHADHARI: Matangazo ya kazi "Santos Petroleum Corporation"

    Hamna kitu hapo ni ujanja ujanja tu huo. Hilo tangazo linaonekana Zoom tu na hamna source ya hilo tangazo .
  8. V

    Hali ishakuwa mbaya, msaada wenu ndugu zangu

    Pole sana asee, elimu yako si ndogo usijishushe ila nakushauri tafuta kanisa la watu walio okoka jirani yako watakushauri na watakusaidia kama ndugu mmoja, Mungu aliyekuumba anatambua shida zako na atakusaidia Msaada wa kibinaadamu una kikomo ila utatauzi wa Mungu ni zaidi ya fahamu za binaadamu.
  9. V

    Kuna aliyeomba kazi Zoom Tanzania akaitwa interview?

    Kuna huyu mtu muwe makini naye ni tapeli mkubwa alishanitumia meseji za kitapeli mara mbili nilipoomba kazi kupitia zoomtanzania, na mwisho tarehe 27/6/2016 alinitumia meseji iliyosomeka hivi "Hello, am Mr. Kauga from Norman Data Ltd, tupo kwenye kikao tunapitia cv za ku interview forData Entry...
Back
Top Bottom