Waraka wa ajira umetoka?

Waraka wa ajira umetoka?

Ni bora waseme watu waendelee na mengine kuliko kimya hiki.So what?
 
Inakera sana jamani sasahivi naona wameshaanza kuapprove but hawatoi check no nashindwa hata kuwaelewa
 
Inakera sana jamani sasahivi naona wameshaanza kuapprove but hawatoi check no nashindwa hata kuwaelewa
hawa watu hawafai serikali haina hata huruma ina roho mbaya kama nn utamwajirije mtu.halafu umrudishe nyumbani.au usimulipe
 
Inakera sana jamani sasahivi naona wameshaanza kuapprove but hawatoi check no nashindwa hata kuwaelewa
Dada yangu lini wameanza kuapprove??.,,maana mm nina cheque namba tyri ila ipo terminated kwahyo hadi mnasitisha mambo haya ilikuwa imebaki kuwa approved ili irejee katika system
 
Dada yangu lini wameanza kuapprove??.,,maana mm nina cheque namba tyri ila ipo terminated kwahyo hadi mnasitisha mambo haya ilikuwa imebaki kuwa approved ili irejee katika system
mimi hr wangu kanichekia ijumaa status inaonesha nipo approved ila sasa check no ndio bado
 
Lakini cheki namba unaipata mwisho wa mwezi baada ya HAZINa kukulipa mshahara wa kwanza...na je imeanza kuonekana upo approved lini?? na mwanzoni ulikuwa na status ipi??
 
Na kama approval imefanyika baada ya tarehe tano basi huwezi pata mshahara wa mwezi huu maana payroll zinafungwa tarehe tano ya kila mwezi
 
Back
Top Bottom