Haya yako hat a ulaya umezitoa wapi? Na je kijijini kwenu hayapo,pia nilikuagiza marekani na china,India wapo,je unamaanisha nini kuziweka hizo,in a maana cdm hao watawavalisha suti na mkate na siagi? Leo hawajatulia bungeni na wanapigania madaraka na kusahau tulicho watuma,,,,,,,,wazungu...