Huu mjadala au maswali ya Mtweve ni muhimu na silo kubeza,na nikwa faida ya wasiojua.Kama wewe unayaona ni yakike wengine twaona yamsingi kwani sio kilamtanzania anifahamu vizuri katiba ya sasa na mapungufu yake,hive usiwachanganye JF nimtandao wakuelimishana na sio mkumbo nakuburuzwa na Hasira au itikadi zamtubinafsi
Huu mjadala au maswali ya Mtweve ni muhimu na silo kubeza,na nikwa faida ya wasiojua.Kama wewe unayaona ni yakike wengine twaona yamsingi kwani sio kilamtanzania anifahamu vizuri katiba ya sasa na mapungufu yake,hive usiwachanganye JF nimtandao wakuelimishana na sio mkumbo nakuburuzwa na Hasira au itikadi zamtubinafsi
Sipingi suala la katiba mpya,ila ni yaaina gani? Ya sasa inamakosa gani? Nilazima tuandke mpya? Kwa nini tusirekebishe ya sasa tu?
hapa tulipo ni kutokana na katiba iliyopo inaonekana una uelewa mdogo na nchi yako, hudhuria makongamano ya katiba utapata majibu mwafaka